Jinsi ya kutengeneza jam nyumbani

Jinsi ya kutengeneza jam nyumbani

farkhina

Platinum Member
Joined
Mar 14, 2012
Posts
14,568
Reaction score
16,917
Mahitaji

Strawberries nusu kilo

Sukar robo kilo

Limau kipande.

Namna ya kutaarisha....

Osha na katakata strawberries zako

Kamua limao kwenye kibakuli....

Weka sufuria jikon bila ya kuweka maji mimina strawberries,sukati ikifuatiwa na limao

Pika moto mdogo mdogo huku unakoroga ili visigandie.....

Pika kwa nusu saa hadi jam yako iwe nzito na inaganda.

Jam tayar kwa kuliwa
 

Attachments

  • 20140611_213644.jpg
    20140611_213644.jpg
    282.8 KB · Views: 677
Shostee, shukrani nyingi kwa toleo la leo ! ntajaribu kadri ya uwezo itokezee.
 
Mahitaji

Strawberries nusu kilo

Sukar robo kilo

Limau kipande.

Namna ya kutaarisha....

Osha na katakata strawberries zako

Kamua limao kwenye kibakuli....

Weka sufuria jikon bila ya kuweka maji mimina strawberries,sukati ikifuatiwa na limao

Pika moto mdogo mdogo huku unakoroga ili visigandie.....

Pika kwa nusu saa hadi jam yako iwe nzito na inaganda.

Jam tayar kwa kuliwa

Jazaakh Allah Khayraan Strawberries inapatikana wapi dar?
 
Shukraan.....subir waje watakuambia mie dar mgeni lol

Mimi shamba ni kwangu hapa Dar ninazo, nashauri watu watumie miti hii kwa ajili ya maua badala ya kutumia miti isiyo na matunda
 
Back
Top Bottom