Ni kwamba unachukua Unga wa Ubuyu,unachanganya na Rangi uipendayo,hizi rangi zinauzwa maduka tele hadi mitaani na ni kama rangi zile tu za kwenye Ice cream za mtaani za mia mia,then unaweka Sukari na kuuchanganya Unga wa Ubuyu hadi sukari iwe kwenye kiwango cha ladha unayoitaka.
Unaweka Maji kidogo kulingana na Kiwango cha uwiano wa Unga kama ulivyofanya kwenye michanganyo hapo juu.
Kisha unaupiga kama vile unakanda matofali vile,kwa muda kiasi hadi uwe Mgum na kukaza,then ukiisha kaza ndio unaanza kukata vipande unavyotaka kwa utulivu.
Unaweza ku add na other Spices
Ila kama upo Dar,
Neda Kule kwa Somanga,ni maarufu sana Jiji la Dar kwa biashara hii.
Ni Babu wa Kisomali yupo pale Magomeni kama njia ya kwenda Tandale Uzuri,ukimaiza kituo cha Fundikira kifuatacho ndio kwa Somanga,hata mtoto mdogo ukimuambia atakupeleka.
Anauza Ubuyu wa Vanila,na pia anauza Unga wa ubuyu ambao tayari una rangi.
Wewe unanunua unachekecha,unatoa mizizi,then unaweka Sukari na kuanza kuupiga ili ujikaze na kisha kutaka