Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii Itaniua 😅😅😅🤣🤣🤣Kusema kweli Walevi Wana mchango mkubwa kwenye Uzi huu😀😀
DR Mambo Jambo ulichataka hiki hapa
Southern Highland muongozo umepatikana
Aunt share nao Hawa jamaa walitaka hii
Mtakuja Kunywa Sumu 🤣🤣🤣Mm huwa natengeza mixer ya limao mani na sukari. Inakuwa kama butter lemon inafaa kunywa kama juisi au kumix na vitu vizito, huna haja ya soda.
Hiyo mixer ni salama kuliko sodaMtakuja Kunywa Sumu 🤣🤣🤣
MOJITO ni kwa wachache Sana..Ni kinywaji mkuu Tena kinapendwa sana
Soda na processed juisi hunywi mkuuMOJITO ni kwa wachache Sana..
NA pia Hata MOCKTAIL au COCKTAIL..
Wengi hawazipendi..
Ila kuna watu tunaxhanganya Vinywaji humo Kama Wakemia wakuu..
Dakika Mbili Nyingi unaona Dunia yote yako kwa kutu Tatu tu 😀😀
Soda nakunywa mara chache sana kwa.mwezi haizidi hata mara 3Soda na processed juisi hunywi mkuu
Yeah unawza kuweka GIN,VoDka au spirit pia..Hivi instead ya kuweka sprite naweza weka nyagi?
Yaani unachanganya sukari na soda, Prof. Janabi akisoma huu uzi atakutajia aina ya magonjwa 100 unayoweza kuyapataSukari kijiko kimoja sio lazima unaweza usiweke kama hupendi sukari au ukaweka kidogo
Soda nyeupe(sprite)
Siku sprite isipokuwepo mbadala wake tutapata wapiNi kinywaji mkuu Tena kinapendwa sana
Sio lazima sukari 😀😀mbona nimesemaYaani unachanganya sukari na soda, Prof. Janabi akisoma huu uzi atakutajia aina ya magonjwa 100 unayoweza kuyapata
View attachment 2908273
Mje kuniokota bara baraniUnaweka 😍