Jinsi ya kutengeneza kinywaji cha lemonade mocktail (mojito) nyumbani

Jinsi ya kutengeneza kinywaji cha lemonade mocktail (mojito) nyumbani

MOJITO ni kwa wachache Sana..
NA pia Hata MOCKTAIL au COCKTAIL..
Wengi hawazipendi..
Ila kuna watu tunaxhanganya Vinywaji humo Kama Wakemia wakuu..

Dakika Mbili Nyingi unaona Dunia yote yako kwa kutu Tatu tu 😀😀
🤣🤣🤣🤣ila nyie
 
imekaa vizuri,lakini nina jambo lakushauli ikiwa utatumia sprite hakuna haja yakuweka tena sukari! ni vyema kujali afya zetu pia kwa kuepuka matumizi mengi ya sukari maana sprite tayari inasukari.

kawaida mocktail hii unaweka soda water au sparkling water (maji yenye gesi),so kama utatumia soda water unaweza kuweka sukari tena sukari yenyewe kwa uharaka zaidi iwe ni sukari iliyokwisha yeyuka yaani simple syrup.

kwa wale walevi sasa unaweza kuweka spirit uitakayo lakini hii cocktail (ikiwa na kilevi ndo inaitwa cocktail), original yake huwa inawekwa white rum na ikiwa na kilevi inaitwa moito/mojito.. aliyoitambulisha mweka mada ni virgin moito/mojito kwa maana haina kilevi.
moja kati ya cocktail ambayo inapendwa sana na waitaliano.
Nimeweka sukari sabbu mambo ya nyumbni sio wote wanaweza PATA sugar syrup ila pia nimeabdika sio lazima au unaweza tunika kidogo kupunguza uchachu wa ndimu
Asante sana mkuu upo vizuri sana
 
Nimeweka sukari sabbu mambo ya nyumbni sio wote wanaweza PATA sugar syrup ila pia nimeabdika sio lazima au unaweza tunika kidogo kupunguza uchachu wa ndimu
Asante sana mkuu upo vizuri sana
sugar syrup ni rahisi tu unatengeneza we mwenyewe unayeyusha sukari kwa maji moto kikubwa isiwe nyepesi sana hivyo tu..

binafsi hii mocktail naitumiaga kama digestion yani nikishakula ndo nakunywa ka glass kamoja, halafu ndo naendelea na fujo zangu sasa..😀
 
Pole sana 😂😂😂🙌 next time ukilewa usishike simu. Utakuja kuahidi watu mamilioni ujue!

Sijawahi kulewa. Hahaa nakunywaga km sinywi afu kumbe ndo nakunywa. So sjui mtu akilewa sana anakuwaje kuwaje anavyojisikia.
Aisee
 
Ameniona,aka like Kisha akapita kimya kimya.

Sijui kwa Nini hajatoa comment yoyote kwa kurudi kwangu JF baada ya kupotea mwaka mzima. Kimya chaje kinaniogopesha sana mrembo.

Next weekend naomba unitengenezee hiki kinywaji.
Ulipotea? Ok
 
Back
Top Bottom