Jinsi ya kutengeneza kinywaji cha lemonade mocktail (mojito) nyumbani

MOJITO ni kwa wachache Sana..
NA pia Hata MOCKTAIL au COCKTAIL..
Wengi hawazipendi..
Ila kuna watu tunaxhanganya Vinywaji humo Kama Wakemia wakuu..

Dakika Mbili Nyingi unaona Dunia yote yako kwa kutu Tatu tu 😀😀
🤣🤣🤣🤣ila nyie
 
Nimeweka sukari sabbu mambo ya nyumbni sio wote wanaweza PATA sugar syrup ila pia nimeabdika sio lazima au unaweza tunika kidogo kupunguza uchachu wa ndimu
Asante sana mkuu upo vizuri sana
 
Nimeweka sukari sabbu mambo ya nyumbni sio wote wanaweza PATA sugar syrup ila pia nimeabdika sio lazima au unaweza tunika kidogo kupunguza uchachu wa ndimu
Asante sana mkuu upo vizuri sana
sugar syrup ni rahisi tu unatengeneza we mwenyewe unayeyusha sukari kwa maji moto kikubwa isiwe nyepesi sana hivyo tu..

binafsi hii mocktail naitumiaga kama digestion yani nikishakula ndo nakunywa ka glass kamoja, halafu ndo naendelea na fujo zangu sasa..😀
 
Pole sana 😂😂😂🙌 next time ukilewa usishike simu. Utakuja kuahidi watu mamilioni ujue!

Sijawahi kulewa. Hahaa nakunywaga km sinywi afu kumbe ndo nakunywa. So sjui mtu akilewa sana anakuwaje kuwaje anavyojisikia.
Aisee
 
Ameniona,aka like Kisha akapita kimya kimya.

Sijui kwa Nini hajatoa comment yoyote kwa kurudi kwangu JF baada ya kupotea mwaka mzima. Kimya chaje kinaniogopesha sana mrembo.

Next weekend naomba unitengenezee hiki kinywaji.
Ulipotea? Ok
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…