Jinsi ya kutengeneza mwili bila kuingia Gym

Daaaah nashindwa hata kunyanyua mkono pushup 5 kwa kila kipengele [emoji85]
 
Mkuu umetoa observation nzuri natamani ingekua juu kabisa kila mdau aione.

Ila uandishi wangu katika zoezi hili umelenga zaidi upper body, bado sijaweza kuandikia lower body. Idea yangu ni kua siku unayopumzisha upper body unakua unatrain lower body.

Na ni ukweli hii ni intense work out, siyo kwa vile ni push ups 320 ila kwa vile tunafuatisha Tabata Workout, tunafanya explosive work out inatuchoma na kutajaza pale pale huku ikituachia lasting effects, lakini pia recovery katika mtindo huu huja haraka sana.
 
Daaaah nashindwa hata kunyanyua mkono pushup 5 kwa kila kipengele [emoji85]
Kudos [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Kaza hivyo hivyo mkuu.
 
Nina mitoto mitatu ya kiume nimekataa kulipia gym nikakuta imetengeneza simenti home inanyanyua...ulaji saasa hatari. Kuna njaa jamani chakula kidogo mtatufilisi
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
hivi wadau unapofanya plunk huwa unaenda chini kama push up au unaganda tu huku umeunyosha mwili,
 
Unakua umeganda huku umeunyoosha mwili
mkuu kuna push up za kupiga magoti kwenye ngazi halafu unapiga kama vile style ya magufuli ila umepiga magoti nyayo za miguu zinaangalia chini vp hizi zinasaidia nini sehemu ya mwili
 
mkuu kuna push up za kupiga magoti kwenye ngazi halafu unapiga kama vile style ya magufuli ila umepiga magoti nyayo za miguu zinaangalia chini vp hizi zinasaidia nini sehemu ya mwili
Zinatengeneza kifua, mgongo mpaka mabegani.

Mazoezi yote ya hapa yamelenga sehemu hizo, isipokua kuna mengine yatakutengenezea mstari kati ya ziwa moja na jingine
 
Mkuu,hongera sana.mm ni Mzee wa pushups sana.hata sasa hivi nipo napasha.Next time jaribu kuelimisha namna ya kuondoa kitambi bila kwenda Gym,,,! Pamoja sana
 
Mazoezi sio kuwa na mwili mkubwa tu.mazoezi ni afya na ni tiba vile ni kinga Kwa baadhi ya magonjwa.tufanye mazoezi!
 
Mkuu,hongera sana.mm ni Mzee wa pushups sana.hata sasa hivi nipo napasha.Next time jaribu kuelimisha namna ya kuondoa kitambi bila kwenda Gym,,,! Pamoja sana
Haina shida mkuu, na karibia mazoezi yote ya tumbo ninayoyajua unaweza kufanyia nyumbani.

Pasha kwa huu mfumo halafu tupe mrejesho mkuu.
 
Kwa kuongezea Mimi hua najipa Free day kwa siku 7 moja najipa free kuweka muscles zijipange kwa next day workout ...so nashauri pia si vibaya pia ukawa inajipa off ili ujione ulivyo jengeka
 
Kwa kuongezea Mimi hua najipa Free day kwa siku 7 moja najipa free kuweka muscles zijipange kwa next day workout ...so nashauri pia si vibaya pia ukawa inajipa off ili ujione ulivyo jengeka
Kabisa kabisa mkuu
 
Lakini niulize muda maalumu wa workout ni upi ukiacha Asubuhi....??
Kuna article moja ilionesha kua kufanya mazoezi jioni ni vizuri zaidi kushinda asubuhi.
Binafsi ninaweza kufanya mazoezi kabla ya kulala.
 
Ndani ya siku tatu tangu kuanza mazoez nyama za tumbo ziliuma saaaana.... Sikuweza kutembea nikiwa nimenyooka... Maumivu kila sehemu...


Kidogo niache kufanya mazoezi... Nashukuru mungu recently Niko poa kabisa napiga tizi kama kawa. Na si kutumia sawa yoyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…