Jinsi ya kutengeneza mwili bila kuingia Gym

Mkuu nikianza kupika night baada ya kula kuna ubaya na vipi mtu ukipiga na kurusha ciku matokeo bado yatakuwa mazuri?
 
Hongera mkuu.
Hata hivyo maumivu hayo hayahitaji dawa.
 
Mkuu nikianza kupika night baada ya kula kuna ubaya na vipi mtu ukipiga na kurusha ciku matokeo bado yatakuwa mazuri?
Hakuna ubaya ni sawa, ila baada ya chakula kushuka vizuri.

Unakua umelenga kurusha siku ngapi?
 
[emoji23] [emoji23] 3] [emoji23] [emoji23] ushaanza matani au siyo?
mkuu mm kila siku huwa napiga push-ups 1000 (napiga 250 mara mbili asubuhi then jion namalizia 500 zingine). Any problem with that mkuu? Ain't that too excessive?
 
mkuu mm kila siku huwa napiga push-ups 1000 (napiga 250 mara mbili asubuhi then jion namalizia 500 zingine). Any problem with that mkuu? Ain't that too excessive?
Kama unapiga push ups za aina moja utaingia kwenye peak haraka, pia unakua unatengeneza kitu kimoja kila siku hatimaye hiko kitu hakiendi kokote ila kitaanza kuonekana kimekata mfano triceps na kifua.
Kwa ishu ya push ups baada ya kuzizoea kinachofata ni kuhisi hauko challenged kama zamani ulivyokua unaanza.

Hii routine ya hapa inalenga kutegua baadhi ya ambavyo vingekukuta ikiwa ungekua unapiga push ups za aina moja.
 
ok good, bas ntajaribu ku-improvise na aina zingine za push-ups kama walivoshauri wadau pamoja na hizo squats. push-ups za aina moja pekee zinanifanya ni-feel unchallenged kama ulivonena mkuu
 
Motivation ya kufanya mazoezi yote haya na kujitesa ni ili niendelee kujizolea maujiko mbele ya baby mama (wanawake bwana!)
 
Motivation ya kufanya mazoezi yote haya na kujitesa ni ili niendelee kujizolea maujiko mbele ya baby mama (wanawake bwana!)
Hahahahahaha mkuu umetisha
 
Hakuna ubaya ni sawa, ila baada ya chakula kushuka vizuri.

Unakua umelenga kurusha siku ngapi?
Yaani ikitokea tu kama ciku labda nimechelewa au kuna ishu ya msingi nafanya

Ninamaana ya kuruka ciku moja na sio kila ciku badi ile ciku ambayo nimetingwa sana..na pia mkuu vipi labda Leo nikipiga night kesho asubhi si bado ni poa tu?
 
Hyo ni kweli mm mwenyewe ndo njia nayotumia
 
Yaani ikitokea tu kama ciku labda nimechelewa au kuna ishu ya msingi nafanya

Ninamaana ya kuruka ciku moja na sio kila ciku badi ile ciku ambayo nimetingwa sana..na pia mkuu vipi labda Leo nikipiga night kesho asubhi si bado ni poa tu?
Kufanya mazoezi kunahitaji kupumzika ili kuipa misuli muda wa kurecover. Siku ambayl unakua umetingwa ichague iwe ndiyo siku yako ya kupumzika.

Haina ubaya kufanya mazoezi usiku na kisha ukafanya asubuhi.
 
Just stumbled kwenye huu uzi najihisi kubarikiwa! By march tjis year Bye bye kitambi mchuchumio!
 
Just stumbled kwenye huu uzi najihisi kubarikiwa! By march tjis year Bye bye kitambi mchuchumio!
Hongera kwa malengo mkuu. Mpaka March utakua umepata unachotaka.
 
Mkuu naomba mazoezi ya kuipa miguu stamina na ukakamavu ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…