Jinsi ya kutengeneza mwili bila kuingia Gym

Jinsi ya kutengeneza mwili bila kuingia Gym

Unashindwa kwa sababu hauna partner au kuna kingine?
Hivi vichomi huwa vinatokana na nini?mie huwa vinankata sana stimu napokuwa kwenye mazoezi hasa maeneo ya chini ya mbavu za kulia[emoji22]
 
Hivi vichomi huwa vinatokana na nini?mie huwa vinankata sana stimu napokuwa kwenye mazoezi hasa maeneo ya chini ya mbavu za kulia[emoji22]
Kuishiwa pumzi halafu kuendelea kupiga tizi.
Kunywa maji mengi mno muda mdogo kabla hujaanza zoezi lako.
 
Back
Top Bottom