Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
nina vifaa vyote ila nashindwaSema mkuu kwanini usijaribu kufanya mazoezi bila kwenda gym?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nina vifaa vyote ila nashindwaSema mkuu kwanini usijaribu kufanya mazoezi bila kwenda gym?
Nije niwe partner wako?nina vifaa vyote ila nashindwa
nitashukuru sana .upo maeneo gani?Nije niwe partner wako?
Dar....Kijichinitashukuru sana .upo maeneo gani?
upo mbali nipo bagamoyoDar....Kijichi
Hivi vichomi huwa vinatokana na nini?mie huwa vinankata sana stimu napokuwa kwenye mazoezi hasa maeneo ya chini ya mbavu za kulia[emoji22]Unashindwa kwa sababu hauna partner au kuna kingine?
Kuishiwa pumzi halafu kuendelea kupiga tizi.Hivi vichomi huwa vinatokana na nini?mie huwa vinankata sana stimu napokuwa kwenye mazoezi hasa maeneo ya chini ya mbavu za kulia[emoji22]
Nikinywa maji kabla sio kuwa hali itakuwa mbaya zaidi?Kuishiwa pumzi halafu kuendelea kupiga tizi.
Kunywa maji mengi mno muda mdogo kabla hujaanza zoezi lako.
Ntajaribu keshoHiko nilichoandik ndiyo hupelekea kichomi.
Badala yake jaribu kunywa kidogo kidogo
Nashukuru sana tiba ya maji imeniondolea kabisa lile tatizo![emoji122] [emoji122]Hiko nilichoandik ndiyo hupelekea kichomi.
Badala yake jaribu kunywa kidogo kidogo
c
upo mbali nipo bagamoyo
Hakika nimepata imani kwako,usinichoke nikija na jingine boss[emoji41]Pamoja mkuu
Tutaendelea kuelekezana.