Jinsi ya kutengeneza mwili bila kuingia Gym

Ongeza sekunde kumi (hivyo badala ya skeunde 10 zitakua 20) katika kupumzika kati ya hizo 10 na 10 zingine. Ukihama namna ya kupiga push up (mfano ulianza za kawaida unataka uhamie




Oooh
 
Mkuu ungetuwekea na picha kabisa ya hayo mazoezi ingekua poa kwani huu uzi ni mzuri sana kwa sisi wapenda mazoez so ni vyema kabisa tukawa deily tuna update na kila expert akaongeza anachokijua yeye ili kila mwanamazoezi aweze jivunia uzi huu
 
Mada nzuri sana.mi huwa nafanya mazoezi kila siku asubuhi na jioni ratiba yangu kama ifuatavyo
Nakimbia uwanja x10,nafanya/kunyosha viungo kwa 15min,nafanya mazoezi ya tumbo hapa Nina mazoezi kama 6 ya tumbo(six pack),push up napiga kwa seti 3@set30.namaliza na mazoezi rejeshi
 
CASTRY IKIWEZEKANA TUUNDE NA GROUP YETU YA WASAP ILI TUZIDI PEANA VITU VIZURI ZAIDI NA ITASAIDIA KUJUANA KWA WALE PENGINE TUKO ENEO MOJA TUKAWEZA JUMUIKA KWA PAMOJA NAPENDA MAZOEZI JAPO SIO EXPERT SANA NANINAKIRI YAMENISAIDIA KUPATA AJIRA AMABAYO NDIO KILA KITU KWANGU
 
Mkuu ungetuwekea na picha kabisa ya hayo mazoezi ingekua poa kwani huu uzi ni mzuri sana kwa sisi wapenda mazoez so ni vyema kabisa tukawa deily tuna update na kila expert akaongeza anachokijua yeye ili kila mwanamazoezi aweze jivunia uzi huu
Mkuu nilijaribu kutafuta muda wa kuandika uzi kabisa jinsi ya kufanya plank lakini bahati mbaya muda haujawa rafiki ila hatujachelewa sana tutafanya hivyo.
 
Hii safi sana mkuu, nilikuwa nafanya push-ups mia moja nikienda round mbili, hamsini kwa hamsini, ngoja nii-break kama maelekezo yako yalivyo.
 
Ahsante kwa mchango wako mkuu sema tudadavulie hii namna yako ya kunyosha viungo tujifunze.
 
Mkuu hii kitu imeofa ajira kwa watu, hata gym ninayifanyia mazoezi watu wengi wapo Next Door na Casino zingine, mimi niliwahi kua kwenye peak nikawekwa kwenye parking Azura. Hongera sana.

Wazo la whatsapp litazingatiwa tutaona mwitikio wa wadau wengine.
 
jichanganye sass

Acha mkwara mkuu, hata hivyo tatizo lako ni kubwa sana. Unahitaji mtu wa karibu kukupatia elimu ya Mara kwa Mara juu ya maana, nia, na umuhimu wa mazoezi kwa maendeleo na ukuaji mzuri wa mwili wa binadamu. Hivi karibuni makamu wa Rais, (imagine, sio Mkuu wa mkoa au waziri, Makamu wa Rais) alihimiza wananchi wafanye mazoezi, tena akaenda mbali hadi kupendekeza siku.

Acha mkwara mkuu Fanya mazoezi kwa afya yako. Asante mkuu.
 
Hii IPO vizur hebu nianze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…