Jinsi ya kutengeneza pesa kwa mara ya kwanza online: Here is everything you need to know

Jinsi ya kutengeneza pesa kwa mara ya kwanza online: Here is everything you need to know

Ukitaka kufanikiwa zaidi katika maisha jaribu kusaidia watu kutimiza malengo yao. Mfano mzuri AMAZON, FACEBOOK, JF, ALL SOCIAL MEDIA. ATA MM nipo kwenye changamoto ya kutafuta kitu ambacho kitasaidia watu watimize malengo yao. Embu anza kufiria kwanzia hapo namna ya kuwasaidia watz kutimiza malengo yao. Ukiweza ilo umejiweka sehem nzuri katika maisha.
Na kwa hakika nasaidia watu wengi.

Hii haina shaka.

Mkuu hapa nimejibu zaidi ya emails 23 na private messages.

And I do this for free.

Nafahamu ili nifanikiwe lazima nisaidie watu kuongeza value kwenye maisha yao ya kila siku.

Na ndiyo ninachokifanya hapa.

Nauhakika kupitia uzi huu wapo watakaoenda mbele na kujifunza na kufanikiwa.

Pia nafahamu wapo watakao sita na kuamua kubaki walipo bila kupiga hatua kujifunza kutengeneza $ online.

See?

I have my opinion but I can't tell people what to think.
 
Na ili uweze kumatain au kuongeza viewers kwenye blog yako at least kwa siku uwe unapost content ngapi?
Juu ya yote asante kwa elimu uliyoitoa humu
 
Na ili uweze kumatain au kuongeza viewers kwenye blog yako at least kwa siku uwe unapost content ngapi?
Juu ya yote asante kwa elimu uliyoitoa humu
Inategemea blog yako ipo katika niche ipi.

Kama blog yako inahusu masuala ya kutengeneza pesa mtandaoni kwa mfano, unaweza ukaandaa post 2 kwa siku.

Kikubwa unatakiwa uandike post yako kwa undani lakini pia usiandike ikawa ndefu yakuchosha.

Hope this help.
 
Samahani hili hujajibu
You won't make much with YouTube.

Labda nikwambie tu kwa kila 1000 views unaweza pata $ 3 on average.

Kwahiyo unaona hapo you need millions of views kutengeneza $2,000

Kumbuka utalipwa iwapo tu viewer ame-click tangazo linayoonyweshwa kwenye channel yako.

I don't advice YouTube if you don't have digital product to sell.

Wengi wanaomiliki YouTube channel hawapati chochote.

Ili kupiga pesa YouTube inabidi uwe na digital product unauza. This way hutotegemea vijisenti vya YouTube.

Unatumia YouTube kama platform kuuza product zako.

This is how people make thousands in YouTube.
 
Salute boss,

Kwanza nianze kwa kukushukuru kukubali ombi langu la kuandaa uzi huu.

Pili nitoe shukrani kwa wote wanaouliza maswali kwani yanazidi kuongeza thamani ya hichi ulichoandika.

Binafsi nishawahi kuingiza kipato online japo sikufikia malengo niliyojiwekea kwa wakati huo, ila nilipata mindset mpya kabisa juu ya pesa.

Naomba wanaJF waelewe vitu vitatu vya kivijua kabla ya kuanza kupata kipito kwa njia ya mtandao au hata katika physical means ni
  • MINDSET
  • TECHNIQUE
  • INFLUENCE
Sijaandika herufi kubwa kwa bahati mbaya, ila natia msisitizo katika hizo stages.

Nikipata muda na mimi nitaandaa uzi unaotoa maelezo ya stage hizo tatu hapo juu.
 
Mambo haya nayapenda sana, tatizo maarfa hayo ya kutamba mtandaoni ndy sina
Habari mkuu.

Good news about making money online ni kwamba unaweza kujifunza.

If fact, anyone can make money online given that they have right skills and know how to sell.

If you are interested don't hesitate send me email kwenye address nimetoa.
 
Habari mkuu.

Good news about making money online ni kwamba unaweza kujifunza.

If fact, anyone can make money online given that they have right skills and know how to sell.

If you are interested don't hesitate send me email kwenye address nimetoa.
Poa mkuu nakutumia
 
Mkuu Global citizen,me ningeomba uje na uzi wa kuelezea how to sell kwa kina kabisaaa especially bidhaa za affiliate marketing,hii ni fursa ambayo ipo open kabisaa kwa watz ila changamoto ni kufanya sales!!

nimeona watz wengi tunakwama hapa kwenye kusell,unaweza kupata account na sellers wakakuruhusu kusell bidhaa zao lkn ukashindwa kufanya sales,pia ningependa utupatie mfano wa blog yako inayokusaidia kufanya sales za affiliate marketing ili tukajifunze jinsi ya kuandika product reviews ama valuable posts zitakazoweza kumfanya mteja anunue.

Piah ningeomba utupatie website ya gharama nafuu ambayo unayoitumia kutengeneza landing pages zako kwa maana nimejaribu clickfunnels naona ni almost dola zaidi ya 90 per month.

Swala la mwisho ambalo ni la muhimu sana naomba utusaidie jinsi ya kupata Quality Traffic wa kutosha tofauti na traffic wa kununua katika solo ads websites nasisitiza hapa jinsi ya kupata quality traffic wa kutosha watakaokuwa wanatembelea blog yako inayodrive traffic kwenda kwenye affiliate link yako.naona kutafuta traffic kupitia youtube channel TCRA wameshatubana hapa Tz ni lazima ufanye usajili ambao utakugharimu sio chini ya 1 mil,sasa hii sio nzuri kwa begginer ambaye ndo anaanza kutafuta pesa online.ni hayo tu mkuu tunaomba msaada wako hapo.
 
Mkuu Global citizen,me ningeomba uje na uzi wa kuelezea how to sell kwa kina kabisaaa especially bidhaa za affiliate marketing,hii ni fursa ambayo ipo open kabisaa kwa watz ila changamoto ni kufanya sales!!

nimeona watz wengi tunakwama hapa kwenye kusell,unaweza kupata account na sellers wakakuruhusu kusell bidhaa zao lkn ukashindwa kufanya sales,pia ningependa utupatie mfano wa blog yako inayokusaidia kufanya sales za affiliate marketing ili tukajifunze jinsi ya kuandika product reviews ama valuable posts zitakazoweza kumfanya mteja anunue.

Piah ningeomba utupatie website ya gharama nafuu ambayo unayoitumia kutengeneza landing pages zako kwa maana nimejaribu clickfunnels naona ni almost dola zaidi ya 90 per month.

Swala la mwisho ambalo ni la muhimu sana naomba utusaidie jinsi ya kupata Quality Traffic wa kutosha tofauti na traffic wa kununua katika solo ads websites nasisitiza hapa jinsi ya kupata quality traffic wa kutosha watakaokuwa wanatembelea blog yako inayodrive traffic kwenda kwenye affiliate link yako.naona kutafuta traffic kupitia youtube channel TCRA wameshatubana hapa Tz ni lazima ufanye usajili ambao utakugharimu sio chini ya 1 mil,sasa hii sio nzuri kwa begginer ambaye ndo anaanza kutafuta pesa online.ni hayo tu mkuu tunaomba msaada wako hapo.
Nitafanyia kazi hili wazo.

Niseme tu mjasiriamali yeyote mtandaoni lazima ajifunze "how to sell" ili aone mafanikio kwenye business yake.

Watu wakumbuke tu hata kama unayo product au huduma nzuri kiasi gani kama hujui kuuza you are doomed to fail.
 
Salute bosses!

.

NENO LA MWISHO.

Nisema tu ili uweze kutengeneza pesa mtandaoni in a constancy manner inabidi ufikirie kujifunza ujuzi unaouzika na ulio kwenye trend.

Jifunze skills hizi na unatengeneza pesa mtandaoni.

1 • SEO

2 • Copy Writing

3 • Content Writing

4 • UX design

5 • Programming

6 • Web development

7 • Transcription & Translation etc.

Kumbuka kujifunza haya yote huitaji muda mrefu. Baadhi ya skills hapo unaweza kujifunza kwa wiki si zaidi ya mbili.

Baada ya kuandika haya yote sasa naomba nimalizie kwakukupata challenge ya kutumiza hayo.

Iwapo unahitaji kujifunza zaidi usisite nitumie email kwenda makingmoneyonlinetz@gmail.com

Asante.

mkuu ni skillz gan ambazo unaweza jifunza sio zaid ya wiki mbili
 
mkuu ni skillz gan ambazo unaweza jifunza sio zaid ya wiki mbili
It depends on how fast you learn things

Jaribu kujifunza

- copy writing

- content Marketing

- Facebook ad

- social media manager

- writing/translation

You can master this skill in ni time ukiwa unajifunza daily.

Pia if you are interested you can send me email nitakupatia guidance.

Baada ya kujifunza hayo you can go to www.kaziyakotz.com ili uuje ujuzi wako.

Make sure your profile is detailed as much as possible.
 
Shukrani boss
It depends on how fast you learn things

Jaribu kujifunza

- copy writing

- content Marketing

- Facebook ad

- social media manager

- writing/translation

You can master this skill in ni time ukiwa unajifunza daily.

Pia if you are interested you can send me email nitakupatia guidance.

Baada ya kujifunza hayo you can go to www.kaziyakotz.com ili uuje ujuzi wako.

Make sure your profile is detailed as much as possible.
 
Back
Top Bottom