Jinsi ya kutengeneza pesa kwa mara ya kwanza online: Here is everything you need to know

bro umeongea point!!. Mtu kama anasema anaingiaza thousands dollars na amefanikiwa kupitia platform flani afu still kutoa ujuzi kuhusu hiyo platform anataka kuingiza hela ndefu nakuwa simuelewagi. Hawa hapa bongo wapo wengi. Hizi introduction za hizi platform tunazijua kupitiabtu google kama kweli anatak kushare ujuzi funguka tu hapa hapa share na CV zako za kwely tuzione af funguka point muhimu zinazoelewek sio kuzungushana.
 
Mkuu acha uvivu.

No one will teach you "life hacks" for free.

Kumbuka watu wamewekeza muda kujifunza kwahiyo hayo maelezo yaliyotolewa yanatosha kabisa. Iwapo unataka kujifunza zaidi I advice ujifunze chini ya mentorship au ujifunze mwenyewe
 
Mkuu acha uvivu.

No one will teach you "life hacks" for free.

Kumbuka watu wamewekeza muda kujifunza kwahiyo hayo maelezo yaliyotolewa yanatosha kabisa. Iwapo unataka kujifunza zaidi I advice ujifunze chini ya mentorship au ujifunze mwenyewe
mekuelewa mkuu
 
Mh mbona mnasound km mleta mada?

Au ndyo mipango ya utapeli kwa kutumia multiple id?
Huyo mtoa mada alishasema tujifunze kuandika ndo maana nimeandika kama yeye,cha pili kama angejibu hayo maswali yangu niliyomuuliza hapo juu angekuwa kanisaidia sana kufanikiwa katika biashara ya affiliate marketing kwa sababu nilifungua acc jvzoo nianze affiliate marketing ila mpaka sasa sijauza bidhaa hata moja.ila mm ni blogger na shughuli zangu muda wote ni blogging ukipitia replies zangu nyingi hapo nyuma niliongelea kuhusu bloging,tafadhali sana chief usije kunihusisha na hizo id mm sio mmoja wao.
 
H
hizi id zote ni za mtu mmoja anataka kutapeli watu

Kuweni makini!
Habari yako Mkuu..........

Naona umeniquote kwa bahati mbaya.

Japo na mimi ninawasiwasi na hizo ID zingine kwamba ni za mtu mmoja.
 
Huyu jamaa ni consultant nazani alikuwa anajaribu mbinu flani yakuwaaminisha watu jinsi anavyoweza kuwasaidia
 

Huyu ni yule yule aliewapiga watu ana majina kibao Mara George kipundwe, MixedFrank frankfrain
 
Niliposoma mabandiko yaliyopita kuhusu hii mambo ya kumake mahela mtandaoni na mpaka pale ulipounda group whatsApp ukawajaza raia ukawa unafafanua biashara inavyoenda mpka ukawa unawaeleza jamaa jinsi unavyopiga pesa mamilioni kwa siku kwamba unaingiza zaidi ya milioni mia saba kwa wiki mpaka siku moja ukafanya youtube streaming kwamba mpaka asubuhi umepiga bilions hakika uliwavutia vijana wengi hata npale uliposema unatengeneza online store ukaweka na package vijana hawakusita kulipa pesa kwakua wanajua mwisho wa siku kuna pesa ndefu wataingiza na vile ulivyokua unakipaji cha uandishi na kuhamasisha bro ilipotokea hata tulipojitokeza watu wa kusema mbona kuna kadalili kawizi ka kuaminika vijana kwenye group hawakausita kukutetea na kumjia mjuu aliyekusema kuwa kuna kadalili kautapeli na kauli yako kubwa ulikua ukisema wabongo washenzi sana hawafai kusaidiwa yani unajitole muda wako kuwasaidia na lakini bado wanakusema vibaya basi wenye macho ya kuona mbele tukakaa kimya tukijua hakuna marefu yasiyo na ncha siku zikapita wale walioahidiwa store zao wakaanza kudai na hapa ndipo pale ubaya ulipoanza kuonekana waswahili wanasema ukitaka kuonekana mbaya dai chako basi walipoanza kudai chao ukaanza kejeli kibao watu wasiombe store zao vitisho vingi na kutishia kujitoa kwenye group na ukidai utawarefund pesa zao watu wakawa wapole kwamaana kila mmoja alitaka kupata pesa akabidhiwe store aanze mauzo online apige pesa kama ulizokua ukiingiza mamibilion ndani ya siku basi ikatokea siku moja kijana mmoja kutaja majina yako tu unayotumia mtandaoni basi kijana akawa mkali na kuleft group mpaka kesho watu bado wanasubiri pesa zao ama store lakini mpaka leo wameambulia patupu na kubaki kujilamu tu pengine pesa zao wangefanyia mambo mengine.
Ila nikupongeze unakipaji cha uandishi na ushawishi kiasi kwamba mtu akiwa mbwigambwiga analiwa pesa mapema tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…