Jinsi ya kutengeneza pesa kwa mara ya kwanza online: Here is everything you need to know

Jamiiforums si pa kupaamini, kumbe mtu unaweza kuchota watu wengi hivi.
 

Mkuu mbona unanishutumu kwa vitu nisivyofahamu?

Mimi is Frank kama unavyoweza.

Nimeona hii comment yako nimebaki nashangaa tu.

Unakosea sana kutoa shutuma zisizo za kweli.

I’m legit man.

Next time uwe mwangalifu.
 
Huyu ni yule yule aliewapiga watu ana majina kibao Mara George kipundwe, MixedFrank frankfrain

Je, nikikuita wewe ni mjinga nitakuwa nimekosea?

Uwe na heshima.

Siyo kila unachodhani kichwani kwako ni sawa.

Mimi si Frank na sipo hapa kumfanyia hila yeyote.

Ume mwangalifu unapotoa shutumia kisa tu ulikuwata na mtu mwingine ukawa-scammed.

I hope this will help.
 
Mkuu kama una interest Kubwa na Haya Mambo Ingia Youtube MdogoMdogo utajifunza Mengi Including Basics Global Citizen anazosema.Mengine waweza jifunza from Online Proven mentors ambao wanakufundisha zaidi with their free packages...
 
Mnazingua nyie huwa mnadanganya watu hivyo
 
Mkuu, umesomeka.

Kama hutajali, tunaomba utufahamishe jinsi ya ku-search na kujua niche ambayo watu wana-search zaidi kutumia Google trend na tools nyingine tafadhali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…