Jinsi ya kutengeneza website(tovuti) bure ya kiofisi (acha kulipia leo)

Jinsi ya kutengeneza website(tovuti) bure ya kiofisi (acha kulipia leo)

mkuu....nifanye nini hapo...au utanisaidiaje katika hilo?
kitu cha kwanza mtu atajiuliza kwanini aache forum nyengine kama jf na aje forum yako? una kitu gani kipya ambacho huku hakipatikani? kama utacopy majukwaa ya huku ujue uwezekano wa kufanikiwa ni mdogo,

na chengine unatakiwa uwe na watu wengi, mara nyingi wanaoanzisha forum wanakuwa na website zenye watumiaji wengi kama blog, unakuta blog ina visitors 10,000 kwa siku unapoanzisha forum inakuwa rahisi kukua sababu unakuwa na source ya watu, ukieka links kwenye blog watakuja.
 
Screenshot_20171121-193051.png
Wakuu najifunza html so nimecode web page by using Html nimejaribu ku host via 000webhost.com but inagoma kufunguka.
Page nilizo tengeneza ni ni kama hapo kwenye picha ya juu ina top, left, Main then nimezitengenezea frame but niki upload file zote inatokea hivi:-
Screenshot_20171121-174937.png
Screenshot_20171121-174937.png
Nikijaribu file moja na kulirename "index. html" na kuliupload web inafunguka fresh tu kwenye hiyo page moja.
Wazoefu naombeni msaada katika hili.

Cc:- UncleUber Chief-Mkwawa zech Nyasiro Fadhili Paulo na wengineo.
 
View attachment 635011 Wakuu najifunza html so nimecode web page by using Html nimejaribu ku host via 000webhost.com but inagoma kufunguka.
Page nilizo tengeneza ni ni kama hapo kwenye picha ya juu ina top, left, Main then nimezitengenezea frame but niki upload file zote inatokea hivi:-View attachment 634984 View attachment 634984
Nikijaribu file moja na kulirename "index. html" na kuliupload web inafunguka fresh tu kwenye hiyo page moja.
Wazoefu naombeni msaada katika hili.

Cc:- UncleUber Chief-Mkwawa zech Nyasiro Fadhili Paulo na wengineo.
kwanini mkuu usianze na blogspot? halafu hizo code zako unapachika mule mule kwenye blog yako, badala ya kutumie ile editor ya text tupu unatumia ya html.

hilo file ulilo rename kama index.html ndio main page ya site yako? ume upload vipi kwenda kwenye site? kule kwenye file manager ya hosting umedumbukiza wapi mafile yako?
 
Screenshot_20171121-221011.png
kwanini mkuu usianze na blogspot? halafu hizo code zako unapachika mule mule kwenye blog yako, badala ya kutumie ile editor ya text tupu unatumia ya html.

hilo file ulilo rename kama index.html ndio main page ya site yako? ume upload vipi kwenda kwenye site? kule kwenye file manager ya hosting umedumbukiza wapi mafile yako?
Mafile yote nimedumbukiza kwenye folder la public_html.


Blogger nilichezea sana kipindi cha nyuma so why najaribu kuhost kwenye subdomain then huko mbeleni nilipie domain+hosting
 
View attachment 635197
Mafile yote nimedumbukiza kwenye folder la public_html.


Blogger nilichezea sana kipindi cha nyuma so why najaribu kuhost kwenye subdomain then huko mbeleni nilipie domain+hosting
mkuu hilo index.html ndio inatakiwa iwe main site yako, naona kuna index na main, inatakiwa mtu akifungua site yako apelekwe moja kwa moja kwenye index.
 
Habari WanaJF,

Nimeandaa hii tutorial kuwasaidia watu wenye ofisi ndogo ndogo na watu binafsi ambao wanataka kuwa na website kwa ajili ya biashara zao au matumizi binafsi lakini kutokana na ukosefu wa hela au uelewa kuhusu lugha za kucode website wameshindwa kumiliki.

Fuata hizi process kwa umakini na utaweza kufungua website.

IDEA (wazo)
Ili uwe na website lazima kwanza uwe na wazo lako kama ni mfanyabiashara ina maana wazo lako ni hiyo biashara na website yako nayo itahusu hiyo biashara. Kama ni mtu binafsi nakushauri wazo lako liwe unique na usiige ige watu utaishia pabaya.

KUTENGENEZA WEBSITE
Hapa kuna aina mbili za utengenezaji rahisi utaangalia aina itakayokupendeza nazo ni kutengeneza online au offline

-offline website building
Kwa sababu hujui language ya kukodi website utahitaji msaada wa software. hizi software zipo nyingi ila ntataja maarufu zaidi ambazo nimeshazitumia ili iwe rahisi zaidi kwangu kukuelekeza sehemu utakayokwama. Na nimezigawanya sehemu mbili za website za kawaida na flash website.

(a) software ya website za kawaida WEBSITE X5 EVOLUTION
boxshotev9_en_200.png

Hii kwa muono wangu ni software rahisi zaidi kwani unachagua design na kuadd picha na maneno tu website yako inakua tayari inaeleweka kiasi kwamba hata beginer ataweza kuitumia. Ukimaliza kutengeneza website utasave hio website kama file. Kama utapata tatizo utanijulisha
Link yao ni hii hapa

Free Demo Software ? Download WebSite X5 ? make a website - WebSite X5

(b)software ya flash website A4 DESK PRO
a4deskpro-flash-website-builder-trans.png


Flash website ni za kisasa kidogo kuliko za kawaida na pia ili kuvisit flash website inabidi flash player iwe installed katika device. Simu ambazo sio smart phone hazisupport flash website. Hii mara nyingi sio nzuri kua official website ya business ila ni nzuri kwa mambo ya entertainment.

Utadownload hii software na kuchagua template na ku add text na picha hamna programing language. Nayo ukimaliza kutengeneza website utasave file lake.


Kudownload hii software click link ifuatayo
Download Website Building Software

Zipo software nyengine kwa faida yako mwenyewe utaenda kuzitest
-dreamwaver
-frontpage
-netfussion
-web studio
-n.k

HOSTING WEBSITE
Sasa tumemaliza kutengeneza website now itabidi tuihost online ili ionekane. Katika step hii ndio utahitajika ku upload lile file la website ulilopata baada ya kumaliza kutengeneza.

Hapa ntataja hosting chache ambazo ni za bureee.

servers free best hosting
Why nasema hawa jamaa ni best? Watakupa space ya 10 gb kueka mafile yako na bandwitch ya gb 100, huwa hawaban ovyo account na wapo fast.

Cha kwanza fungua acount chagua subdomain halafu nenda cpanel yako utaona link imeandikwa import website click hapo then upload ile website yako utakua umemaliza kazi.
Link yake

Servers free – free web hosting servers, servers for free, free server

other hosting
Kutokana process za host nyingi zinafanana ntazimention tu free hosting

Free Web Hosting with cPanel, PHP, and no Ads
Free Web Hosting - Linux, PHP, MySQL, No Ads/Banners by FreeHostia.
Free Web Hosting with PHP, MySQL and cPanel, No Ads
Free Hosting, Paid Hosting, Reseller Services & VPS Servers : Byet Internet
Webs - Make a free website, get free hosting

DOMAIN
Ok tushatengeneza website lakini ina subdomain tu haina domain kamili inabidi tutafute jina zuri kwa ajili ya website yetu so hapa lazima tutengeneze domain

Kabla sjataja website ya domain inabidi kwanza ujue tutorial namna ya kupark domain

Cha kwanza utaenda kwenye host yako sehemu ya domain then uchukue dns zao. Mfano nahost website seversfree.com basi dns itakua namna hii

ns1.serversfree.com
ns2.serversfree.com

Ukishazipata unaenda website ya kutengeneza domain then unregister unachagua jina unalopenda halafu unachagua domain by dns then utaeka dns zako

Baada ya hapo unarudi kwa host wako kupark hio domain
Nb: inaweza chukua hadi masaa 24 kwa domain kua tayari so kua mvumilivu

website za kutengenezea domain
dot.tk best domain
Hii ndo top level domain pekee inayokubalika google ambayo ni free kuregister just nenda link hii
Dot TK - Free Domains for All

Website nyengine za domain ni
uni.cc

co.nr
afraid.org
net.tc
net.tf
co.cc
co.tv

Kama utapata tatizo lolote usisite kupost hapa
Mkwawa,mbona hawa websitex5evolution wanauza kwa sasa? napata wapi ya bure?
 
A modern day business without an online strategy is a business destined for failure. You need a website and we know how to put the best possible website together to achieve your goals and score you more customers.

At Computer Springs we are expert in:
Build Customized website editing application which enables customers to make changes to their website directly using a simple online (web based) interface. This allows businesses to maintain their website in real-time using an easy-to-use Admin Console.

Get a free quote now or Visit our website for more competitive packages for web hosting and web designing.
 
ASANTE KWA SOMO ZURI LKN NAOMBA NAMBA ZAKO PINDI NIKIKWAMA UNISAIDIE
 
Mkuu chief mkwawa nimefuata maelezo yako yote kwa usashi kabisa ila kuna mahali nimefiaka palae ninapotak kuview site yangu kwenye website kwa kutumia google chrome ina fail inaniambia fail ila flashpalyer nime enable mkuu naomba msaada asante.
 
Back
Top Bottom