JITU BANDIA
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,868
- 6,453
Kwa hiyo hapo unafanyaje mkuu!?Ndio inawezekana.
Unaichukua blog kama ilivyo na kuihost kwa host mwingine tofauti na blogger !?... Kwa mfano hawa yatosha.com web hosting!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo hapo unafanyaje mkuu!?Ndio inawezekana.
Unanunua tu jina kama ni Namecheap, Godaddy ama kwengineko kisha unalink jina na blog yako sio lazima uhost blog kwengine. Kwenye setting za Blogger kuna sehemu za kupark hio domainKwa hiyo hapo unafanyaje mkuu!?
Unaichukua blog kama ilivyo na kuihost kwa host mwingine tofauti na blogger !?... Kwa mfano hawa yatosha.com web hosting!?
Ssa mkuu kwa free hosting ila nimenunua domain siezi kupata website inaitwa banana.com?1. ndio utaweza kutumia hizi hosting file ukishatengeneza account nenda kwenye control panel utaona sehemu imeandikwa import/upload website hapo ndo utahamisha website yako
2.kila free hosting inatoa subdomain na hazifanani ukitaka subdomain ya .blogspot.com lazma ukafungulie kwao mfano free host ya hostinger wao subdomain yao inaitwa 16mb.com so website itaitwa mbishimimi.16mb.com so inategemea na subdomain wanayotoa. na hili utLIJUA MWANZO TU MAANA WATAKWAMBIA UCHAGUE
Unaweza kuwa na premium domain na free hosting, sema domain haijirudii, unlikely kupata jina la banana.Ssa mkuu kwa free hosting ila nimenunua domain siezi kupata website inaitwa banana.com?
Mimi sio mtaalam sana wa coding najua tu Basics basi,Mkuu msamiati nataka uje ulete somo siku moja la kutengeza Website kwa kutumia Django..
Na kingine pia ningependa siku moja uje na somo la Backend..maan wengi hapa ni Front end
Asante sana kwa ufafanuzi wa kina mkuuUnanunua tu jina kama ni Namecheap, Godaddy ama kwengineko kisha unalink jina na blog yako sio lazima uhost blog kwengine. Kwenye setting za Blogger kuna sehemu za kupark hio domain
Hivi kama mtu kachukua banana.com siwez kupata banana.co.tz?Unaweza kuwa na premium domain na free hosting, sema domain haijirudii, unlikely kupata jina la banana.
Hivi kama mtu kachukua banana.com siwez kupata banana.co.tz?
Mkuu msamiati nataka uje ulete somo siku moja la kutengeza Website kwa kutumia Django..
Na kingine pia ningependa siku moja uje na somo la Backend..maan wengi hapa ni Front end
Inawezekana kama nayo haijachukuliwa Kuna .net, org, mobi, us, Africa etc kunakuwa na domain nyingi sema .com ndio zinakuwa na soko zaidi.Hivi kama mtu kachukua banana.com siwez kupata banana.co.tz?
Mkuu Samahani Hivi ipi Database nzuri ,SQL Nzuri kati ya MySQL au postgreSQLLearn Python Web Development framework (django)
Hello, Cybergates Hapa watu wengi hasa wanaojifunza python programming wenyewe au online wanajua kuitumia kwenye console au compiler basi wengi wajatengeneza real project ata moja alafu wanajiita " I'm Python Programmer ". moja kati yanjia nzuri ya kujifunza python an kuepuka kuishia kwenye...www.jamiiforums.com
Tembeleas post zangu za nyuma tulisha wahi kutoa muongozo wa django na API
Production tunatumia PostgreSQL, development wengi wanatimia SQLite & MySQLMkuu Samahani Hivi ipi Database nzuri ,SQL Nzuri kati ya MySQL au postgreSQL
Unaweza vizuri tu!!!Ukinunua domain unapewa Key flani special kama API Key hivi then unaweka kwenyeMkuu habari, samahani kwa kukuita huku, ni hivi....
Nina blogspot yangu iko live since 2010... Nikiwa begginer wa ICT
Nilikuwa nauliza je ninaweza kununua domain mf, domain ya .Co.tz ama .Com na kuifeed kwenye blogspot yangu na ibadilike kwenye searchable search engine badala ya kuwa (mfano ) jitubandia.blogspot.com ibadilike iwe searchable as jitubandia.com!?, ama jitubandia.co.tz!!
Hilo linawezekana!?