Jinsi ya Kutengenza dawa ya nguvu za kiume (Viagra) ya asili

Jinsi ya Kutengenza dawa ya nguvu za kiume (Viagra) ya asili

Hiyo kitu n fix tu hakuna kitu hapo. Kama unataka kua fit fanya hivi...
Piga tizi lolote angalau dk 30 halafu malizia na tizi la skwati angalau 150 kwa Siku
Kunywa maji mengi ili uwe na mzunguko mzuri wa damu na mwisho jiamini mapenzi ni starehe si kukomoana maana haiwezekani utaumia wewe.. Nazani tumeelewana au nasema uongo ndugu zangu
kipi sahihi viagra za dukani ama hasili na wengi wao hawana hobies na mazoezi kila kt ni hobby hom boi
 
kipi sahihi viagra za dukani ama hasili na wengi wao hawana hobies na mazoezi kila kt ni hobby hom boi
Kweli lakini Viagra n mbaya sana kipindi flani nilitumia hizo za dukan kuna chalii angu ana duka la pharmacy alinipa aisee nilimpiga demu mmoja shoo hadi akaanza kulia kua anaumia mi nikazani n zile swaga zao kumbe mtu anaumia tukaachana siku hiyohiyo so sio kitu kizuri kabisa halafu inakuua tu coz huwez jiamini bila kuitumia
 
Kweli lakini Viagra n mbaya sana kipindi flani nilitumia hizo za dukan kuna chalii angu ana duka la pharmacy alinipa aisee nilimpiga demu mmoja shoo hadi akaanza kulia kua anaumia mi nikazani n zile swaga zao kumbe mtu anaumia tukaachana siku hiyohiyo so sio kitu kizuri kabisa halafu inakuua tu coz huwez jiamini bila kuitumia
sure za dukani sio mpango bora utumie vitu asili
kufanya mazoezi.
1. Blueberry
3. Chaza/Kombe wabichi /pweza (Raw Oysters)
4. Karanga
5. Vitunguu saumu
7. Chocolate
6. Ndizi

unaeza dharau vt km ivo ila ndo zitakuweka ktk hali nzuri na matarajio poa
 
Kweli lakini Viagra n mbaya sana kipindi flani nilitumia hizo za dukan kuna chalii angu ana duka la pharmacy alinipa aisee nilimpiga demu mmoja shoo hadi akaanza kulia kua anaumia mi nikazani n zile swaga zao kumbe mtu anaumia tukaachana siku hiyohiyo so sio kitu kizuri kabisa halafu inakuua tu coz huwez jiamini bila kuitumia
Lete stori braza.
 
sure za dukani sio mpango bora utumie vitu asili
kufanya mazoezi.
1. Blueberry
3. Chaza/Kombe wabichi /pweza (Raw Oysters)
4. Karanga
5. Vitunguu saumu
7. Chocolate
6. Ndizi

unaeza dharau vt km ivo ila ndo zitakuweka ktk hali nzuri na matarajio poa
Kweli kabisa hata maziwa fresh na unga wa mbegu za parachichi n soo sana unakunywa walau Mara moja kwa wiki wamasai wanaitumia sana hii
 
Beetroots na strawberry ni matunda gani mkuu, na hayo uaandaaji wake unakuajkata tikiti lako robo tatu ama zima kwa kutegemea ukubwa wa tikiti , weka tikiti ulilolikata kwenye mashine yako ya kusaga(blenda) bila kutoa matetere yake, hakikisha usiongeze kitu cha aina yoyote kama vile sukari na ukishamaliza saga mpaka juisi kutengenezeka.
kata tikiti lako robo tatu ama zima kwa kutegemea ukubwa wa tikiti , weka tikiti ulilolikata kwenye (blenda) bila kutoa matetere yake, hakikisha usiongeze kitu cha aina yoyote kama vile sukari na ukishamaliza saga mpaka juisi kutengenezeka.
Baada ya hapo weka juisi hiyo kwenye sufuria na anza kuchemsha juisi hiyo ya tikiti kwa moto wa wastani huku ukisubiria kuweka juisi ya matunda mengine.

Kamulia limao kwenye juisi ya tikiti bila kusahau kutoa matetere yake wakati ikiwa inachemka, kamulia angalau limao moja ama moja na nusu. Chemsha mchanganyiko huwo kwa dakika kadha hadi bakize nusu ya kiasi cha juisi uliyoweka awali na iache juisi hiyo ipoee kwa dakika thelathini(30).
Ukiwa unasubiria juisi ipoe katakata tunda la beetroot moja katika vipisi vidogodogo na kisha weka kwenye mashine yako ya kusagia matunda.
Baada ya kuweka beetroot kwenye mashine yako kata strawberry nne kwa vipisi vidogovidogo bila kusahau kutoa sehemu iliyokuwa ngumu,

na kisha tia maji kama glass ya kati moja kwenye mashine na kisha washa mashine ili mchanganyiko usagike pamoja.

Baada ya hapo chuja mchanganyiko wako beetroots na strawberry na chujio safi na kisha changanya juisi uliyoichuja na juisi ya mchanganyiko wa tikiti na limao angali bado ya vuguvugu kisha koroga kwa mda mrefu ilikuhakikisha mchanganyiko huo umechangamana vizuri na kisha hifadhi sehemu bardi tayari kwa kunywa.
Juisi ya mchanayanyiko wa matunda hayo manne ni nzuri hasa kwa watu wenye matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume, kutokana na kuwa na upatikanaji wa citrulline na lycopene kutoka kwenye tikikiti na limao pamoja potassium na nitrate kutoka kwenye strawberry na beetroots.

Juisi hii yapaswa kunyweka asubuhi kabla ya kunywa chai ama chakula chochota na pia jioni kabala ya chakula cha jioni ili kufanya kazi kikamilifu.
 
Acheni utani
Utani gani wakati huo unga wa lile kokwa la parachichi wamasai wanauuza sana tu unakoroga kijiko kimoja cha chai na maziwa fresh kunywa Mara mbili kwa wiki utakuja kunishukuru badae
 
Mkuu tuokolee ndoa zetu kongwe kwa kutoa maelezo kidogo.
Mkuu ni rahisi kabisa wewe nunua parachichi zako yaan ovakado kula tunda lake then ile mbegu yake ipondeponde namna unavoweza alafu anika ikikauka isage hadi uwe unga halafu utachanganya na maziwa fresh utakua unagonga ukiweza kunywa mfulululizo ni poa zaidi ila ukishindwa basi japo Mara kadhaa kwa wiki utaanza kuona mabadiliko... Ukishindwa kuandaa huo unga nenda kwa wamasai wanao kibao tu.. Coz hivi dawa wanasai wanaitumia sana
 
Mkuu ni rahisi kabisa wewe nunua parachichi zako yaan ovakado kula tunda lake then ile mbegu yake ipondeponde namna unavoweza alafu anika ikikauka isage hadi uwe unga halafu utachanganya na maziwa fresh utakua unagonga ukiweza kunywa mfulululizo ni poa zaidi ila ukishindwa basi japo Mara kadhaa kwa wiki utaanza kuona mabadiliko... Ukishindwa kuandaa huo unga nenda kwa wamasai wanao kibao tu.. Coz hivi dawa wanasai wanaitumia sana
Ubarikiwe sana mkuu.
Ngoja niingie chimbo haraka sana.
 
Back
Top Bottom