Jinsi ya Kutengenza dawa ya nguvu za kiume (Viagra) ya asili

Jinsi ya Kutengenza dawa ya nguvu za kiume (Viagra) ya asili

Utani gani wakati huo unga wa lile kokwa la parachichi wamasai wanauuza sana tu unakoroga kijiko kimoja cha chai na maziwa fresh kunywa Mara mbili kwa wiki utakuja kunishukuru badae
Ah mzee mi hapo hapana bwana wewe
 
Kweli kabisa hata maziwa fresh na unga wa mbegu za parachichi n soo sana unakunywa walau Mara moja kwa wiki wamasai wanaitumia sana hii
shukrani kwa mchango wako mzeiya all is well
 
Beetroots na strawberry ni matunda gani mkuu, na hayo uaandaaji wake unakuaje??
images (1).jpeg
images.jpeg
 
Back
Top Bottom