Castr JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 35,012 Reaction score 70,201 May 8, 2021 #41 Wakipekee said: Utani gani wakati huo unga wa lile kokwa la parachichi wamasai wanauuza sana tu unakoroga kijiko kimoja cha chai na maziwa fresh kunywa Mara mbili kwa wiki utakuja kunishukuru badae Click to expand... Ah mzee mi hapo hapana bwana wewe
Wakipekee said: Utani gani wakati huo unga wa lile kokwa la parachichi wamasai wanauuza sana tu unakoroga kijiko kimoja cha chai na maziwa fresh kunywa Mara mbili kwa wiki utakuja kunishukuru badae Click to expand... Ah mzee mi hapo hapana bwana wewe
Ethan Cruz JF-Expert Member Joined Apr 29, 2021 Posts 231 Reaction score 331 May 8, 2021 Thread starter #42 Wakipekee said: Kweli kabisa hata maziwa fresh na unga wa mbegu za parachichi n soo sana unakunywa walau Mara moja kwa wiki wamasai wanaitumia sana hii Click to expand... shukrani kwa mchango wako mzeiya all is well
Wakipekee said: Kweli kabisa hata maziwa fresh na unga wa mbegu za parachichi n soo sana unakunywa walau Mara moja kwa wiki wamasai wanaitumia sana hii Click to expand... shukrani kwa mchango wako mzeiya all is well
Wakipekee JF-Expert Member Joined Aug 21, 2019 Posts 6,194 Reaction score 10,711 May 8, 2021 #43 Ethan Cruz said: shukrani kwa mchango wako mzeiya all is well Click to expand... Pmoja sana mkuu
M Magazine Fire JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 1,365 Reaction score 1,473 May 8, 2021 #44 Wakipekee said: Poa baada ya wiki mbili usisahau kuleta mrejesho Click to expand... Wewe ilikusaidia? Vipi radha yake?
Wakipekee said: Poa baada ya wiki mbili usisahau kuleta mrejesho Click to expand... Wewe ilikusaidia? Vipi radha yake?
tibe_j JF-Expert Member Joined Feb 12, 2015 Posts 794 Reaction score 1,071 May 8, 2021 #45 Wakipekee said: Hahahhaa Ntaianzishia ngoja kwanza mechi ya Leo ipite Click to expand... Hii mechi matokeo yake yatakufanya usahau kila kitu [emoji3]
Wakipekee said: Hahahhaa Ntaianzishia ngoja kwanza mechi ya Leo ipite Click to expand... Hii mechi matokeo yake yatakufanya usahau kila kitu [emoji3]
richie ze best JF-Expert Member Joined Nov 4, 2013 Posts 600 Reaction score 1,023 May 8, 2021 #46 Wagonjwa ni wengi
SPYMATE JF-Expert Member Joined Apr 17, 2013 Posts 2,071 Reaction score 1,960 May 9, 2021 #47 Mwalim19 said: Beetroots na strawberry ni matunda gani mkuu, na hayo uaandaaji wake unakuaje?? Click to expand...
Mwalim19 said: Beetroots na strawberry ni matunda gani mkuu, na hayo uaandaaji wake unakuaje?? Click to expand...