Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Mkuu nimefatilia comment zote na majibu ktk hii mada kwa mtiririko mzuri kabisa.Naomba nikuulize maswali machache hasa juu ya usalama wangu maana nilijaribu kidogo last night kabla sijalala,ni kweli nilifkia paralysis ila nkahofia kuendelea mbele.Maswali ni haya..

1.Nimetoka nje ya mwili,then ghafla kwenye appartiment ambayo ndio nimeacha mwili wangu ikashika moto,je nini kitatokea kwangu mimi ambaye sipo ndani kimwili kwa kuda ule??

2.Nimefanikiwa kufanya hiyo projection then nikiwa ktk kusurvey nkawa na hofu,je inawezekana kupanic na kushindwa kurudi ktk mwili wangu?

3.Unayazungumzia vipi maelezo ya Pasco,maana ingawa yana vitisho lakini nihisi kama kuna ukweli flani hivi

3.Najua kwa begginers sio kitu kizuri kuanza kwa kwenda mbali sana,ila itakuwaje endapo umeamua kuzunguka tu maeneo ya karibu alaf ukakutana na wachawi au ukapita nyumba ambazo wamejizatiti either kwa nguvu za Mungu au za giza alafu wakakuangusha,mkuu Rakims huu sindio mwanzo wa kuonekana mchawi?

Maswali nnayo mengi sana ila naomba nianze na hayo kwanza.
Ahsante

"Analyse"

Vizuri nitajibu kwa hatua..

1: ikiwa kuna bughudha yoyote inaendelea katika mwili uliouacha utarudi upesi sana hata kama ni mtu anagonga hodi chumbani kwako ni sawa na upo usingizini tu unakuwa na muongozo wa miili yako miwili kwa wakati mmoja yani ni sawa na mtu aliewahi kuota lucid dream na akaiexperience vizuri kama angekuwepo hapa angekwambia nazungumzia nini.. kelele au hata hewa ikibadilika wewe taarifa unakuwanazo sikwambii kitu nilichosoma kwenye kitabu nakwambia kile nilichoexperience..

2: hapana kwanza tu unapokuwa out of control either kiakili au hata kushindwa kuongoza astral body utajikuta tu umeshaamka kutoka usingizini, hata ukiwa umetoka tu pale pale chumbani ukaanza kushangaa vitu vina uhai yani hata ukijisahau tu kwamba upo astral plane basi unaamka ndio maana unatakiwa urelax...

3: maelezo ya Pasco sina kina nayo sana siwezi kujua kama yeye anazungumzia astral projection ipi? maana kuna astral projection ya free wills(ninayo izungumzia) kuna astral projection ya kichawi (kuondoka na kuacha mwili gogo) kuna Astral Projection ya Budhism (Wao wanasheria zao) kuna astral projection za lucid dreams.. kuna Astral Projection Za Chanting (kuita jini au shetani anakubeba kiroho kwenda utakapo) kuna astral projection za death experience...
siwezi kuorodhesha zote lakini mimi ninayozungumzia haihitaji chochote zaidi ya uelewa wako labda umuulize yeye anawaonya ipi?

4: wewe hata upite sehemu ambapo malaika wanakuona hakuna kizuizi zaidi ya cha mwenyezi mungu tu, pia kwa wachawi hakuna mchawi anaeweza kuona silver cord ya mtu wana astral body ya mtu kama kuna mchawi hapa atuambie yeye aliwahi kuona ya nani jibu ni hakuna.. nyumba za ibada ukienda utapata baraka zaidi na utajionea astral body yako inavyozidi kung'ara kama taa ya tube light kama unabisha nenda na ukifika eneo hilo omba utaona baraka zake lakini ukitoka kwa aina zingine hizo za astral projection lazima zitakinzana tu...

nimechoka maswali ya kujirudia

"Rakims"
 
Last edited by a moderator:
Vizuri nitajibu kwa hatua..

1: ikiwa kuna bughudha yoyote inaendelea katika mwili uliouacha utarudi upesi sana hata kama ni mtu anagonga hodi chumbani kwako ni sawa na upo usingizini tu unakuwa na muongozo wa miili yako miwili kwa wakati mmoja yani ni sawa na mtu aliewahi kuota lucid dream na akaiexperience vizuri kama angekuwepo hapa angekwambia nazungumzia nini.. kelele au hata hewa ikibadilika wewe taarifa unakuwanazo sikwambii kitu nilichosoma kwenye kitabu nakwambia kile nilichoexperience..

2: hapana kwanza tu unapokuwa out of control either kiakili au hata kushindwa kuongoza astral body utajikuta tu umeshaamka kutoka usingizini, hata ukiwa umetoka tu pale pale chumbani ukaanza kushangaa vitu vina uhai yani hata ukijisahau tu kwamba upo astral plane basi unaamka ndio maana unatakiwa urelax...

3: maelezo ya Pasco sina kina nayo sana siwezi kujua kama yeye anazungumzia astral projection ipi? maana kuna astral projection ya free wills(ninayo izungumzia) kuna astral projection ya kichawi (kuondoka na kuacha mwili gogo) kuna Astral Projection ya Budhism (Wao wanasheria zao) kuna astral projection za lucid dreams.. kuna Astral Projection Za Chanting (kuita jini au shetani anakubeba kiroho kwenda utakapo) kuna astral projection za death experience...
siwezi kuorodhesha zote lakini mimi ninayozungumzia haihitaji chochote zaidi ya uelewa wako labda umuulize yeye anawaonya ipi?

4: wewe hata upite sehemu ambapo malaika wanakuona hakuna kizuizi zaidi ya cha mwenyezi mungu tu, pia kwa wachawi hakuna mchawi anaeweza kuona silver cord ya mtu wana astral body ya mtu kama kuna mchawi hapa atuambie yeye aliwahi kuona ya nani jibu ni hakuna.. nyumba za ibada ukienda utapata baraka zaidi na utajionea astral body yako inavyozidi kung'ara kama taa ya tube light kama unabisha nenda na ukifika eneo hilo omba utaona baraka zake lakini ukitoka kwa aina zingine hizo za astral projection lazima zitakinzana tu...

nimechoka maswali ya kujirudia

"Rakims"

Pole kwa kukuchosha man,sometime fear drive out the questions.But all in all thanks man.

"Analyse"
 
Last edited by a moderator:
Pole kwa kukuchosha man,sometime fear drive out the questions.But all in all thanks man.

"Analyse"

your welcome...
ukikwama ukiexperience tofauti sema takufafanulia au takwambia wapi unakosea..

"Rakims"
 
Pole kwa kukuchosha man,sometime fear drive out the questions.But all in all thanks man.

"Analyse"
Watu makini wote, lazima huwa wanajiuliza kwanza kabla hawajalifanya jambo lolote ambalo hawana uhakika nalo!. Unapojiuliza ufanye jambo fulani, usifanye tuu ili kujaribu au kujifurahisha bali jiulize what for?!, unafanya ili iweje, ukiuuliza muyo, uau kujiuliza, utapata majibu. Ile sauti ya kujiuliza inaitwa listening from your self, na sauti unaisikia inaitwa 'the voices from within', hiyo ndio sauti ya Mungu!, ikukuambia fanya, then fanya!.

Astra Projection niliyoizungumza mimi ni ile iliyopo kwenye ule main uzi wangu kuhusu haya makitu
[h=3]Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo bila Kujitambua ...[/h]Then nenda kwenye sub topic ya nne kuhusu Astral projection or mental projection - An out-of-body experience in which an "astral body" becomes separate from the physical body.

Pasco
 
3: maelezo ya Pasco sina kina nayo sana siwezi kujua kama yeye anazungumzia astral projection ipi? maana kuna astral projection ya free wills(ninayo izungumzia) kuna astral projection ya kichawi (kuondoka na kuacha mwili gogo) kuna Astral Projection ya Budhism (Wao wanasheria zao) kuna astral projection za lucid dreams.. kuna Astral Projection Za Chanting (kuita jini au shetani anakubeba kiroho kwenda utakapo) kuna astral projection za death experience...
siwezi kuorodhesha zote lakini mimi ninayozungumzia haihitaji chochote zaidi ya uelewa wako labda umuulize yeye anawaonya ipi?

"Rakims"
Mkuu Rakims, Astra Projection niliyoizungumza mimi ni ile iliyopo kwenye ule main uzi wangu kuhusu haya makitu
Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo bila Kujitambua ...

Then nenda kwenye sub topic ya nne kuhusu Astral projection or mental projection - An out-of-body experience in which an "astral body" becomes separate from the physical body.

Pasco
 
Mkuu Rakims, Astra Projection niliyoizungumza mimi ni ile iliyopo kwenye ule main uzi wangu kuhusu haya makitu
Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo bila Kujitambua ...

Then nenda kwenye sub topic ya nne kuhusu Astral projection or mental projection - An out-of-body experience in which an "astral body" becomes separate from the physical body.

Pasco

sasa hiyo pasco imezijumlisha Astral Projection Zote Mkuu In Branches There A Lot Of Astral Projection.....

"Rakims"
 
Mkuu Rakims ninaomba nikuulize swali moja tu kwa leo. Je, hii astro projection inaweza kumsaidia mtu kupata mke mwema, kujua mbinu bora za kufanya biashara zake au shughuli nyingine za utafutaji kama vile uchimbaji wa madini?
 
Dah, hakuna uzi nimeupitia kwa utulivu na umakini kama huu, lakini kitu kimojatu najiuliza
hivi kwa maisha yalivyo hapa Bongo haiwezi kuwa Vema mtu akaamua kubaki katika ulimwengu
huohuo wa Roho? (Swali halimuhusu mtoa mada) Pia kuna wale wanaopata msongo wa mawazo hata
kutaka kujiua ile nini sijui lakini kama hii aliyoizungumzia Pasco si ndo mzuri kwa kuondoka moja kwa moja
na kwenda ulimwengu huo ambao mchangiaji mmoja anasema hata Bruce Lee alienda? (bado halimuhusu Rakims)

Mwisho niseme tu kuna upinzani humu ndani unaonifanya niingiwe na hofu, Kuhusu kuwa huu ni uchawi hilo
nakataa. Hakuna uchawi ambao uko waziwazi kama huu.
 
Mkuu Rakims na MziziMkavu, naombeni sana wakati mnatoa hili somo, pia muwape angalizo hao wanafunzi wenzi, kuwa mchezo huu pia ni sawa na kuijaribu sumu kwa kuilamba!. Wapeni kabisa masharti ya kuzingatia, wakikosea ndio safari jumla!, asubuhi unakutwa ulitangulia ukiwa usingizini!.

Masharti ni haya.


  1. Fanya hivyo ukiwa umelala peke yako chumbani, na kabla hujaanza ujinga huo, hakikisha umefunga mlango kwa fungua, kwa sababu akitokea mtu akakuamsha tuu na kuchange position hata ya milimita moja, ile cord ni kama utando wa buibui, inakatika, wewe unakuwa ndio basi tena!.
  2. Unaweza kukutana na "the under world" ukaona maisha hayo ndio bora zaidi, hivyo cord ikakatika, huku unakutwa ndio basi tena!, safari jumla!.
  3. Hizi ni highest stages za maditation ambazo haziruhusiwa kufanywa na beginners, na hazifanywi un supervised vinginevyo ni safari!.
  4. Yote utakayoyashuhudia kwenye astra body, unaweza kuyafanya by simply opening the "third eye!"
  5. Hizi ndizo the first stages za wachawi!.

Wito wangu mimi, kama hujui unataka nini, utoke out of body ili kuachieve nini, please don't do!. Mtu asikudanganye its is not fun!. Too much knowledge is harmful please don't try!.

Pasco

Mpaka nimeogopa! Sasa huo ni uchawi au kitu gani
 
Mkuu Rakims ninaomba nikuulize swali moja tu kwa leo. Je, hii astro projection inaweza kumsaidia mtu kupata mke mwema, kujua mbinu bora za kufanya biashara zake au shughuli nyingine za utafutaji kama vile uchimbaji wa madini?

unachohitaji kukifanya kinafanyika ndio waweza kuwa spy wake lakini sio vema kupeleleza siri za watu... pia kuna hatua za kufuata ili uweze kuwa na power hiyo ya dowsing (Ability to locate matters)

"Rakims"
 
Mwezi Mtukufu Ni Bora Zaidi Kufanya Zoezi La Astral Projection Kwa Maana All Dark Spirit Are Locked By Chains...
 

Attachments

  • 1434798668924.jpg
    1434798668924.jpg
    7.6 KB · Views: 276
Dah, hakuna uzi nimeupitia kwa utulivu na umakini kama huu, lakini kitu kimojatu najiuliza
hivi kwa maisha yalivyo hapa Bongo haiwezi kuwa Vema mtu akaamua kubaki katika ulimwengu
huohuo wa Roho? (Swali halimuhusu mtoa mada) Pia kuna wale wanaopata msongo wa mawazo hata
kutaka kujiua ile nini sijui lakini kama hii aliyoizungumzia Pasco si ndo mzuri kwa kuondoka moja kwa moja
na kwenda ulimwengu huo ambao mchangiaji mmoja anasema hata Bruce Lee alienda? (bado halimuhusu Rakims)

Mwisho niseme tu kuna upinzani humu ndani unaonifanya niingiwe na hofu, Kuhusu kuwa huu ni uchawi hilo
nakataa. Hakuna uchawi ambao uko waziwazi kama huu.

Mkuu mbona hawakujibu?
 
Nawanaokufaga wanelala ni hivihivi. Hata kama marehemu alikuwa anaumwa analose hope na kujikuta akilala huku akiwakatika taratibu hizi na kujikuta anashindwa kurudi katika mwili wake.
 
Back
Top Bottom