KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Wanafunzi wengi walikatishwa tamaa na mienendo ya waalimu wao....vpi lakn watoaji wa hay masomo bad wapo cku hz lakn
hahaha duu waliingiza mambo ya mapene nini aseeWanafunzi wengi walikatishwa tamaa na mienendo ya waalimu wao....
tunakusubiri mkuu...nitarudi mda sio mrefu wakuu ... .. .msihofu
Rakims...itakuhitaji muda sana kutelekinisis na kuhold something from Astral Planet Otherwise Easy Way You Have To Meet Other Spirits Wa Dhehebu Lako Na Uwapige Vibomu Ukiamka Unakuta Pesa Under Your Pillow...
"Rakims"
mmmmh...Huyu si ndiye wanafunzi wake walikuwa wanamlalamikia kuwa anawaringia na kuwatapeli.....??
MREJESHO KWA MARA YA KWANZA nimefanya hii kitu ila kuna mambo mawili yalikuwa yananishinda haswa nilikuwa nikifkia ile hatua ya ganzi ninavyozidi kuconcentrate katk kuskiliza mapigo ya moyo ili kupinguz mawzo mm akati hui najikuta kam naishiwa pumzi yaani nahisi kam nashindwa kupmua hv sas sjajua hyo ni kawaida tu ama
inasababishwa na mm kuconcetrate mbk katka kuskiliza mapgo ya moyo naomba kujibiw
hili nimelijaribu mara nyingi lakn nikawa ndhindwa
ahha okeeeemkuu mimi sio mtaalamu sana na haya mambo lakini naweza kukuambia kitu hapo ukifanikwa utakuwa usha vuka hiyo hatua. tuna ambiwa hautakiwi kuushughulisha ubongo by that time unatakiwa kukata mawasiliano ya nnje ya mwili na mawasiliono ya ndani kama hivo unavo concentrate sana hapo hutaweza kuingia katika meditative state. kinacho takiwa hapo ni awareness tu ukizidisha ufundi una stack hapo hapo. na pumzi inapozidi kuwa ndogo na nyembamba ndio hatua za mwisho na hufikia hatua unakuwa hupumui kabisa hapo unaunakuwa tayari ushaingia katika hali ya kumeditate na ndio hapo una weza kufanya ulicho kusudia katika meditation yako kama nikutoka nnje ya mwili n.k
ngoja leo nitajarb tenah
Huu uzi nimeupitia juu juu hata hivyo nitaupitia kwa makini ili kuona kama naweza kutoa mchango wangu, lakini pia wanafunzi wana kiu ya kuona darasa likiendelea hasa hasa maswali yanayowatatiza na yote ya yote practice makes perfect.nitarudi mda sio mrefu wakuu ... .. .msihofu
Utaelewaje wakati hujataka kuelewa?hata siwaelewi
watakuja kukwambia kitu hicho hakuna ...na hakiwezekani .Kutoka nje ya mwili ni kitu rahisi na halisi hakuna madhara yoyote kumbuka mwili wako ni kama gari dereva anapoliacha nje wakati yeye yupo ndani ya nyumba, kwaiyo dereva wa mwili wako ni wewe your inner self.
haaa ila sasa mbona walim wa huu uzi wana mashauzi sana ama waliyoambiwa ni ukweli ndio maana wamelala kushoto[emoji12] [emoji12]watakuja kukwambia kitu hicho hakuna ...na hakiwezekani .
haaa ila sasa mbona walim wa huu uzi wana mashauzi sana ama waliyoambiwa ni ukweli ndio maana wamelala kushoto
mmh haya ngoja tusubiriunajua ukifuatilia sana wengi walio fanikiwa walijifunza kwanza tabia njema heshima na kuwa na moyo wa huruma na subira pia walijifunza kujua baya na jema na kuwa positive all the time. ili isitokee kuwa umeelewa hii mambo kwa bahati mbaya yatu pasa tujifunze hayo kwanza na kuya apply katika maisha yetu yakila siku...