Nimeuliza hivyo kwasababu kuna siku nilikaribia kutoka ila ajabu chumba kilikuwa na mwanga Kama nimewasha taa wakt taa ilikuwa imezimwa. Pia Mara nyingi nikifika kwa paralysis state nakua nasikia Kama mtu anatembea chumbani, naingia na woga najiamsha.kitu cha kwanza kujua ni kwamba kila kitu astral plane kina aura ya nafsi hata kikombe hata mti pia
Huu mchezo unahitaji hasira lols......Mwalimu tatizo una jazba.
Hapana Jazba Hapa Mkuu
..! I'm So Peacefully Inside Maself
kinachonivuruga hapa ni kuona wanafiki wa dini wanadanganya umma hapa na kushikisha wenzao uchawi Kwa Kupoteza Maana Husika... kila mtu anaimani yake kwa uwezo wako wa utambuzi hapo ni wapi kwenye uzi huu nimesema dini au imani fulani inahisika?
Nadhani Umeelewa Huo Unaousema wewe ukali unatoka wapi? binafsi nina dini yangu na naipenda na naifuata ningetaka kutangaza dini ningetangaza mwanzo wakuu...
Rakims
nb
mr thibitisha..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] em mwambie adhibtishe kama ni kweli.[emoji16]Malarkey. Hocus pocus with neither locus no focus.
Aah mkuu, mbona wewe ume-comment lkn haumo? Mimi langu kati ya hayo simo kokote, na natamani watu wasiwemo humo ila kundi la wacha Mungu tu.kati ya hayo makundi binafsi simo ila lako lipi? huwezi kusema jambo ambalo halikuhusu
Unatakiwa Upandishe Vibration Yako Ya Mwili Ili Uondoke Hata Hisia Ya Baridi Mwilini...Nimeuliza hivyo kwasababu kuna siku nilikaribia kutoka ila ajabu chumba kilikuwa na mwanga Kama nimewasha taa wakt taa ilikuwa imezimwa. Pia Mara nyingi nikifika kwa paralysis state nakua nasikia Kama mtu anatembea chumbani, naingia na woga najiamsha.
Yakheee! huu mchezo hatari saaana huu, manake nikasema ngoja ni test, yakhe nafumba macho mie hata kabla sija concetrate kivileee naona watu weeengi mara nione majeneza nikaona hizi dallili siyo nzuri ati ....weee nikaamuka mie sipendagi ujinga mie........kuoga na kuvaa nguo safi zisizobana n kama kuvaa sanda, vazi maalumu la maiti
Kwa kiswahili chepesi we we ni mchawi no discussionMkuu Endeleza hilo Somo wewe ndio Mwalimu hapa mimi huwa nikitaka kutoka huwa ninatoka ndani ya usingizi nikasafiri kwenda ninako taka huwa ninaruka ndani ya usingizi haswa ninaanza kulala tu. Ni somo zuri sana hongera mkuu Rakims.
Uchawi mweusiPasco Ni kweli unayoyasema ndio maana kuna mambo mengine hayafai watu kufundishwa akikosea ndio anakufa moja kwa moja mimi huwa sipendi kujaribu kitu kwa njia ya Riski.
Mimi huwa inatokea sio kila siku kusafiri wakati nipo ndani ya usingizi nikikusudia huwa ndio ninasafiri na sio kwa nia mbaya bali kutembea na kujionea mwenyewe ulimwengu jinsi ulivyo ingawa ukizoea utaona raha lakini sio nzuri kusafiri ndani ya ndoto unaweza unakokwenda usirudi tena ulipo toka. nimekuelewa Mkuu Pasco.
Yakhe! kwa dalili hizo yakhe! mmhhh.......hapo unapoona mwanga hapo ndiyo inakua unaenda hivyo shauri yako .....Nimeuliza hivyo kwasababu kuna siku nilikaribia kutoka ila ajabu chumba kilikuwa na mwanga Kama nimewasha taa wakt taa ilikuwa imezimwa. Pia Mara nyingi nikifika kwa paralysis state nakua nasikia Kama mtu anatembea chumbani, naingia na woga najiamsha.
YAKHE! HILI SOMO HILI HALINA ANGALIZO LOLOTE MANAKE WATU KWA KUKIMBILIA KUJARIBU, WITO WANGU KWA WAPENDA KUJARIBU KABLA YA KUZIJUA TAADHALI BASI MUANDIKEGE KABISA NA WOSIA......ASTRAL PROJECTION/Mental Projection......
Ni Ule Uwezo Wa Mtu Kutengana Na Mwili Wake Ki Fikra Katika Imani Husemwa Kiroho...
Kutoka Ap Humfanya Mtu Kwenda Popote Duniani Ki Mawazo Na Kufarijika Nafsi Yake Na Kujifunza Mambo Tofauti Ya Sehemu Jirani Na Kupaa Au Kupita Katikati Ya Ukuta Kama Mchawi Vile....
Ni Aina Ya Nguvu Ambayo Huwa Nayo Watu Wote Isipokuwa Katika Asilimia 100..
65% Ni Watu Wasioijua
25% Ni Watu Wanaoijua
10% Ni Watu Wanaoitumia..
Hatua Za Kufuata Ili Kusavei Nje Ya Mwili
Kuna Njia Mbili Za Kutoka Nje Ya Mwili Hapa Nitaielezea Moja...
Njia Hizo Ni:
1; self Astral P...
2: Astral By Binaural
HATUA ZA KUFUATA KWA NJIA YA KWANZA:
NI RAHISI TU....
1; Oga Na Vaa Nguo Safi Zisizo Bana
2: Lala Chali Mgongo Ukiwa Umenyooka Vema huku umefumba macho....
3: utapata vishawishi kujigeuza au kujitingisha vi ignore/ Usijishike wala kujitingisha kuwa kama soldier....
4: Usitingishe Macho Wala Kuchezesha Mwili Wako...
5: Subiri Na Uconcerntrate Kwenye Pumzi ( Hapa unakuwa unaudanganya ubongo kuwa mwili unaota)
6: ukiweza kujizuia Kujigeuza Geuza Au Kujikuna Ubongo Utajua Umelala Na Utaruhusu Mwili Kuachia Kinga Ya Paralysis Au Ganzi Salama Ya Mwili Mzima..
Ambayo Huwa Inakinga Miili Yetu Kutokujiumiza Wakati WA Kuota Mfano: sleep walking(unaota huku unatembea)
7: Wakati Hali Hii Inatokea Hapo Ndipo Unaweza Kujitenga na mwili wako ambao umepata ganzi....
tatizo hapa huwa lipo katika kujua ni upi mwili sahihi maana bado miili miwili inakuwa imeshikana
8: ukiamka na mwili wako wa ganzi kila kitu utakuwa umevuruga na utaamka kwenye mwili wenye ganzi (hii mimi ninauzoefu nayo pia unajiona upo macho lakini mwili hauamki wala kucheza unaganda ni kawaida ila huwa ni noma sana... haichukui muda ni kama sekunde 10 ukianza kujishtua au kujitingisha ila inashangaza kidogo wale wanafunzi wangu mnajua hapa namaanisha nini...
Sasa Je Utajua Vipi Kati Ya Miili Hii Upi Ni Sahihi?
Mbinu Rahisi Ipo Hivi Ukifikia Kwenye Hatua Hiyo Ya Kutoka.. Visualize Kwamba Una Mikono Mipya Na Miguu Mipya..
na ukishaingia kwenye hali hiyo hutokea set ya mingine
9: Baada Ya Hapo Inuka Katika Mwili Wako Wa Ndoto Sogea Mbele Hatua Tano Geuka Nyuma na Uangalie Mwili Wako Uliouacha.......
10: Hongera Umeweza Fanya Chochote Unachojiskia Hakina Madhara Kwenye Real World....
ANGALIZO:
Wakati Unautizama Mwili Wako Uliouacha Kuna Kitu Kina Kuwa Kimekuunga Na Ule Mwili Kama Silver cold Hivi Nyeupe Ya Kama Wingu Hiyo Ndio Hukusaidia Kurudi Hata Kama Umepotea Njia.....
Cc: Pasco , mshana jr , MziziMkavu
By: Rakims
achana nao hao mkuu..tupe vituAkili Ya Mtu Humletea Anachotaka...
hata ukitazama tu hollywood (where reality is upside-down) consequences za "kusahau mwili ulipo" ni kwamba unabaki huko huko na ndo mwisho wa kubaki duniani..Mkuu Rakims na MziziMkavu, naombeni sana wakati mnatoa hili somo, pia muwape angalizo hao wanafunzi wenzi, kuwa mchezo huu pia ni sawa na kuijaribu sumu kwa kuilamba!. Wapeni kabisa masharti ya kuzingatia, wakikosea ndio safari jumla!, asubuhi unakutwa ulitangulia ukiwa usingizini!.
Masharti ni haya.
- Fanya hivyo ukiwa umelala peke yako chumbani, na kabla hujaanza ujinga huo, hakikisha umefunga mlango kwa fungua, kwa sababu akitokea mtu akakuamsha tuu na kuchange position hata ya milimita moja, ile cord ni kama utando wa buibui, inakatika, wewe unakuwa ndio basi tena!.
- Unaweza kukutana na "the under world" ukaona maisha hayo ndio bora zaidi, hivyo cord ikakatika, huku unakutwa ndio basi tena!, safari jumla!.
- Hizi ni highest stages za maditation ambazo haziruhusiwa kufanywa na beginners, na hazifanywi un supervised vinginevyo ni safari!.
- Yote utakayoyashuhudia kwenye astra body, unaweza kuyafanya by simply opening the "third eye!"
- Hizi ndizo the first stages za wachawi!.
Wito wangu mimi, kama hujui unataka nini, utoke out of body ili kuachieve nini, please don't do!. Mtu asikudanganye its is not fun!. Too much knowledge is harmful please don't try!.
Pasco
Siyo kweli japo sijafanya ila nimesoma na kufanya research kwa wataalam na walio experience hicho kituhata ukitazama tu hollywood (where reality is upside-down) consequences za "kusahau mwili ulipo" ni kwamba unabaki huko huko na ndo mwisho wa kubaki duniani..
kwenye film ya "insidious part 1" jamaa alikuwa anakutana na wafu tu..
not that namkosoa mleta uzi, kila mtu ana haki ya kufanya maamuzi yake binafsi
just my 2 cents
mimi sijui mkuu, kama unafaham zaidi basi congrats ila rejea nilivyosema kuwa "in hollywood, (where reality is upside-down)" nikimaanisha yaweza kuwa unreal vile vileSiyo kweli japo sijafanya ila nimesoma na kufanya research kwa wataalam na walio experience hicho kitu
Hakuna kitu cha namna hicho