Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

kitu cha kwanza kujua ni kwamba kila kitu astral plane kina aura ya nafsi hata kikombe hata mti pia
Nimeuliza hivyo kwasababu kuna siku nilikaribia kutoka ila ajabu chumba kilikuwa na mwanga Kama nimewasha taa wakt taa ilikuwa imezimwa. Pia Mara nyingi nikifika kwa paralysis state nakua nasikia Kama mtu anatembea chumbani, naingia na woga najiamsha.
 
Mwalimu tatizo una jazba.
Huu mchezo unahitaji hasira lols......
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Hapana Jazba Hapa Mkuu
..! I'm So Peacefully Inside Maself
kinachonivuruga hapa ni kuona wanafiki wa dini wanadanganya umma hapa na kushikisha wenzao uchawi Kwa Kupoteza Maana Husika... kila mtu anaimani yake kwa uwezo wako wa utambuzi hapo ni wapi kwenye uzi huu nimesema dini au imani fulani inahisika?

Nadhani Umeelewa Huo Unaousema wewe ukali unatoka wapi? binafsi nina dini yangu na naipenda na naifuata ningetaka kutangaza dini ningetangaza mwanzo wakuu...


Rakims

nb
 
kati ya hayo makundi binafsi simo ila lako lipi? huwezi kusema jambo ambalo halikuhusu
Aah mkuu, mbona wewe ume-comment lkn haumo? Mimi langu kati ya hayo simo kokote, na natamani watu wasiwemo humo ila kundi la wacha Mungu tu.


Vv
 
Nimeuliza hivyo kwasababu kuna siku nilikaribia kutoka ila ajabu chumba kilikuwa na mwanga Kama nimewasha taa wakt taa ilikuwa imezimwa. Pia Mara nyingi nikifika kwa paralysis state nakua nasikia Kama mtu anatembea chumbani, naingia na woga najiamsha.
Unatakiwa Upandishe Vibration Yako Ya Mwili Ili Uondoke Hata Hisia Ya Baridi Mwilini...

Rakims

Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
 
kuoga na kuvaa nguo safi zisizobana n kama kuvaa sanda, vazi maalumu la maiti
Yakheee! huu mchezo hatari saaana huu, manake nikasema ngoja ni test, yakhe nafumba macho mie hata kabla sija concetrate kivileee naona watu weeengi mara nione majeneza nikaona hizi dallili siyo nzuri ati ....weee nikaamuka mie sipendagi ujinga mie........
 
Pasco Ni kweli unayoyasema ndio maana kuna mambo mengine hayafai watu kufundishwa akikosea ndio anakufa moja kwa moja mimi huwa sipendi kujaribu kitu kwa njia ya Riski.

Mimi huwa inatokea sio kila siku kusafiri wakati nipo ndani ya usingizi nikikusudia huwa ndio ninasafiri na sio kwa nia mbaya bali kutembea na kujionea mwenyewe ulimwengu jinsi ulivyo ingawa ukizoea utaona raha lakini sio nzuri kusafiri ndani ya ndoto unaweza unakokwenda usirudi tena ulipo toka. nimekuelewa Mkuu Pasco.
Uchawi mweusi
 
Nimeuliza hivyo kwasababu kuna siku nilikaribia kutoka ila ajabu chumba kilikuwa na mwanga Kama nimewasha taa wakt taa ilikuwa imezimwa. Pia Mara nyingi nikifika kwa paralysis state nakua nasikia Kama mtu anatembea chumbani, naingia na woga najiamsha.
Yakhe! kwa dalili hizo yakhe! mmhhh.......hapo unapoona mwanga hapo ndiyo inakua unaenda hivyo shauri yako .....
 
ASTRAL PROJECTION/Mental Projection......

Ni Ule Uwezo Wa Mtu Kutengana Na Mwili Wake Ki Fikra Katika Imani Husemwa Kiroho...

Kutoka Ap Humfanya Mtu Kwenda Popote Duniani Ki Mawazo Na Kufarijika Nafsi Yake Na Kujifunza Mambo Tofauti Ya Sehemu Jirani Na Kupaa Au Kupita Katikati Ya Ukuta Kama Mchawi Vile....


Ni Aina Ya Nguvu Ambayo Huwa Nayo Watu Wote Isipokuwa Katika Asilimia 100..
65% Ni Watu Wasioijua

25% Ni Watu Wanaoijua

10% Ni Watu Wanaoitumia..

Hatua Za Kufuata Ili Kusavei Nje Ya Mwili

Kuna Njia Mbili Za Kutoka Nje Ya Mwili Hapa Nitaielezea Moja...

Njia Hizo Ni:

1; self Astral P...

2: Astral By Binaural


HATUA ZA KUFUATA KWA NJIA YA KWANZA:

NI RAHISI TU....

1; Oga Na Vaa Nguo Safi Zisizo Bana

2: Lala Chali Mgongo Ukiwa Umenyooka Vema huku umefumba macho....

3: utapata vishawishi kujigeuza au kujitingisha vi ignore/ Usijishike wala kujitingisha kuwa kama soldier....

4: Usitingishe Macho Wala Kuchezesha Mwili Wako...

5: Subiri Na Uconcerntrate Kwenye Pumzi ( Hapa unakuwa unaudanganya ubongo kuwa mwili unaota)

6: ukiweza kujizuia Kujigeuza Geuza Au Kujikuna Ubongo Utajua Umelala Na Utaruhusu Mwili Kuachia Kinga Ya Paralysis Au Ganzi Salama Ya Mwili Mzima..
Ambayo Huwa Inakinga Miili Yetu Kutokujiumiza Wakati WA Kuota Mfano: sleep walking(unaota huku unatembea)

7: Wakati Hali Hii Inatokea Hapo Ndipo Unaweza Kujitenga na mwili wako ambao umepata ganzi....
tatizo hapa huwa lipo katika kujua ni upi mwili sahihi maana bado miili miwili inakuwa imeshikana

8: ukiamka na mwili wako wa ganzi kila kitu utakuwa umevuruga na utaamka kwenye mwili wenye ganzi (hii mimi ninauzoefu nayo pia unajiona upo macho lakini mwili hauamki wala kucheza unaganda ni kawaida ila huwa ni noma sana... haichukui muda ni kama sekunde 10 ukianza kujishtua au kujitingisha ila inashangaza kidogo wale wanafunzi wangu mnajua hapa namaanisha nini...

Sasa Je Utajua Vipi Kati Ya Miili Hii Upi Ni Sahihi?

Mbinu Rahisi Ipo Hivi Ukifikia Kwenye Hatua Hiyo Ya Kutoka.. Visualize Kwamba Una Mikono Mipya Na Miguu Mipya..
na ukishaingia kwenye hali hiyo hutokea set ya mingine

9: Baada Ya Hapo Inuka Katika Mwili Wako Wa Ndoto Sogea Mbele Hatua Tano Geuka Nyuma na Uangalie Mwili Wako Uliouacha.......

10: Hongera Umeweza Fanya Chochote Unachojiskia Hakina Madhara Kwenye Real World....


ANGALIZO:

Wakati Unautizama Mwili Wako Uliouacha Kuna Kitu Kina Kuwa Kimekuunga Na Ule Mwili Kama Silver cold Hivi Nyeupe Ya Kama Wingu Hiyo Ndio Hukusaidia Kurudi Hata Kama Umepotea Njia.....


Cc: Pasco , mshana jr , MziziMkavu


By: Rakims
YAKHE! HILI SOMO HILI HALINA ANGALIZO LOLOTE MANAKE WATU KWA KUKIMBILIA KUJARIBU, WITO WANGU KWA WAPENDA KUJARIBU KABLA YA KUZIJUA TAADHALI BASI MUANDIKEGE KABISA NA WOSIA......
 
YAKHE! HILI SOMO HILI HALINA ANGALIZO LOLOTE MANAKE WATU KWA KUKIMBILIA KUJARIBU, WITO WANGU KWA WAPENDA KUJARIBU KABLA YA KUZIJUA TAADHALI BASI MUANDIKEGE KABISA NA WOSIA......
Akili Ya Mtu Humletea Anachotaka...
 
Mkuu Rakims na MziziMkavu, naombeni sana wakati mnatoa hili somo, pia muwape angalizo hao wanafunzi wenzi, kuwa mchezo huu pia ni sawa na kuijaribu sumu kwa kuilamba!. Wapeni kabisa masharti ya kuzingatia, wakikosea ndio safari jumla!, asubuhi unakutwa ulitangulia ukiwa usingizini!.

Masharti ni haya.


  1. Fanya hivyo ukiwa umelala peke yako chumbani, na kabla hujaanza ujinga huo, hakikisha umefunga mlango kwa fungua, kwa sababu akitokea mtu akakuamsha tuu na kuchange position hata ya milimita moja, ile cord ni kama utando wa buibui, inakatika, wewe unakuwa ndio basi tena!.
  2. Unaweza kukutana na "the under world" ukaona maisha hayo ndio bora zaidi, hivyo cord ikakatika, huku unakutwa ndio basi tena!, safari jumla!.
  3. Hizi ni highest stages za maditation ambazo haziruhusiwa kufanywa na beginners, na hazifanywi un supervised vinginevyo ni safari!.
  4. Yote utakayoyashuhudia kwenye astra body, unaweza kuyafanya by simply opening the "third eye!"
  5. Hizi ndizo the first stages za wachawi!.

Wito wangu mimi, kama hujui unataka nini, utoke out of body ili kuachieve nini, please don't do!. Mtu asikudanganye its is not fun!. Too much knowledge is harmful please don't try!.

Pasco
hata ukitazama tu hollywood (where reality is upside-down) consequences za "kusahau mwili ulipo" ni kwamba unabaki huko huko na ndo mwisho wa kubaki duniani..

kwenye film ya "insidious part 1" jamaa alikuwa anakutana na wafu tu..

not that namkosoa mleta uzi, kila mtu ana haki ya kufanya maamuzi yake binafsi

just my 2 cents
 
hata ukitazama tu hollywood (where reality is upside-down) consequences za "kusahau mwili ulipo" ni kwamba unabaki huko huko na ndo mwisho wa kubaki duniani..

kwenye film ya "insidious part 1" jamaa alikuwa anakutana na wafu tu..

not that namkosoa mleta uzi, kila mtu ana haki ya kufanya maamuzi yake binafsi

just my 2 cents
Siyo kweli japo sijafanya ila nimesoma na kufanya research kwa wataalam na walio experience hicho kitu

Hakuna kitu cha namna hicho
 
Haya Kabla Hatujaendelea Mbelw Zaidi Leo Natoa Nafasi Ya Kwenu Kuzungumza Kila Mmoja Kwa Nini Mnataka Kumaster Astral Projection (kutoka Nje Ya Mwili)?
Na Unatamani Kufanya Nini Ambacho Kinakufanya Usikate Tamaa ya Kufanya Japokua Yapo Mengi What Is Your Most Desire?

Rakims
 
Siyo kweli japo sijafanya ila nimesoma na kufanya research kwa wataalam na walio experience hicho kitu

Hakuna kitu cha namna hicho
mimi sijui mkuu, kama unafaham zaidi basi congrats ila rejea nilivyosema kuwa "in hollywood, (where reality is upside-down)" nikimaanisha yaweza kuwa unreal vile vile
 
Napenda kujifunza vitu vipya ndo mana napenda ku master hii kitu. Halafu zamani nilikua naweza kukaa sehemu kikatokea kitu nikaona mpaka mwisho wake utavyokua yani ni kama hicho kitu kimewahi kutokea before but now sipati hiyo experience tena why?
 
Back
Top Bottom