Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Daaah watu wabinafsi nyie .!!...ngoja na mm nijaribu Maujanja hayo. ...
 
Mkuu Endeleza hilo Somo wewe ndio Mwalimu hapa mimi huwa nikitaka kutoka huwa ninatoka ndani ya usingizi nikasafiri kwenda ninako taka huwa ninaruka ndani ya usingizi haswa ninaanza kulala tu. Ni somo zuri sana hongera mkuu Rakims.
Hebu tu-share maujanja hayo wote. ...
 
Jana saa sita nimejaribu hiki kitu. Kwa saa zima sikuona chochote nikahisi labda ni hizi kelele za friji na hili feni langu bovu.

Nimeshtuka saa tisa umeme umekatika nikaona nijaribu tena kwakua zile kelele hazipo tena.

Nimefeli.

Nahisi hii kitu inahitaji amani ya kichwani na kua very relaxed. Hivyo vyote sina kwa sasa nadhani mpaka siku ajira zikitangazwa.
Hivyo nasimamisha zoezi kwa muda usiojulikana
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Mkuu mi nilishajaribu kitambo ila sikuwahi kufanikiwa.. Huenda labda mpk uwe na viunga unga vya kunyunyiza lol.

View attachment 452577View attachment 452578
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Mkuu mi nilishajaribu kitambo ila sikuwahi kufanikiwa.. Huenda labda mpk uwe na viunga unga vya kunyunyiza lol.

View attachment 452577View attachment 452578
Inawezekana, labda wakishaku-add ndiyo wanakupa huo unga.

Ila mimi simo wewe ndiyo umeanzisha habari za unga[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Inawezekana, labda wakishaku-add ndiyo wanakupa huo unga.

Ila mimi simo wewe ndiyo umeanzisha habari za unga[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hahahhahhhha.. Sasa km yunajaribu tunashindwa tuwazaje lol.. [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Heri ya mwaka mpya mkuu
 
Naona dawa ni kuaddiwa kwenye hilo group au tuunde tume ichunguze kwanini baadhi ya wadau tunafeli[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Na wewe pia mkuu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Kabisaaa..

Ukiona mafanikio huko kwa group nishtue na mm wani add please
 
Hahahahaaaaa!!!!!!!
kwa unga huo ni uchawi sasa!

Yaan mi nataka niuone huo ulimwengu mwingine. Sasa km njia hizi zimeshindikana waseme labda kuna unga unga lol..

MziziMkavu na wakuu wengine mtueleze jamani hiyo mnayosema rahisi mbona kwetu inashindikana, tatizo ni nn!!
 
Na mimi nilishajaribu mara kibao ila nikashindwa sijui kwanini au kwa sababu maisha magumu.
 
Naweza kupinga au kukubali jambo fulani pale tu ninapokuwa na hoja,,,, wale mnasema kuwa Astral Projectionni ni kweli na sio uchawi tena mkiwa mmeshajaribu, naomeni mnithibitishie hili kwa kuja kwang chumban kwa kutumia hiyo Astral Projection na urudi kisha uniambie chumbani kumetandikwa shuka la rangi na lipoje,,,,,
Tahadhari; usijaribu kuja chumbani kwangu kama Astral Projection ni uchawi
 
baada ya kuona mada humu jf inayohusiana na astral projection niliipenda na nikaanza kuifuatilia google ili nipate ujuzi zaidi, katika pitapita zangu kuna sehemu niliona kuwa kusikiliza tune flani ambayo ipo kama music inaweza kukusaidia kufanikisha lengo lako kirahisi,

ili kurahisisha mambo nikatafuta application kabisa yenye beats zote hizo ili nijaribu mwenyewe , niliipata application moja inaitwa binaural beats na ipo playstore na usiku bila kulaza damu nikaanza kuijaribu, sasa kwa vile nilikuwa na mteru at first nilikuwa naishia hatua za njiani,

sasa juzi nikasema ngoja nijaribu tena kama kawaida nikafungua ile app nikaweka beat ya astral projection na nikalala chali , lengo langu lilikuwa sio kutoka nje ya mwili bali nlitaka tu nisikilize zile beats kwani nligundua vilevile zinanisaidia kupata usingizi mapema kwahio kama una matatizo ya usingizi hii ni dawa tosha niamini mimi nimejaribu kwa vitendo

ghafla nilisikia ganzi ambayo haitofautiani sana na ile tunayosemaga ni ya kukabwa na jinamizi , kwa vile nlikuwa nishajua ni nini kinaendelea , nikainuka kutoka pale nilipo na nikageuka na aisee niliuona mwili wangu, nilishtuka ila kwa vile nilijua ni nini hiki na sijafa nikajikaza, kwa kweli kutokana na woga nilichofanya nilijaribu nikapaa hadi dirishani nikaona hapana , nnachokifanya hakina maana , nikarudi kitandani nikautikisa mwili nkajikuta nimeamka,

tangu imenitokea hivo siajalala tena chali japo natumia bado beats kunisaidia kupata usingizi kwani nahisi sipo tayari kiroho wala kiakili kufanya hio kitu , kama hujaelewa hii issue kuna uzi unaohusu astral projection ni nini na ndio huo hata mimi ulinipa mwanga kwa hio sipo hapa kuelezea nimekuja kusema njia rahisi tu kwa wale onja onja wenzangu,

NB: ni lazima utumie headphones au earphones ili kupata matokeo kwani hizo beats zina frequency tofauti kati ya L and R ambayo huiwez kuisikia kama ukisikiliza kawaida

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…