Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
he! kwaiyo ni mang'amng'am..?Illusion
ndio maana yake.he! kwaiyo ni mang'amng'am..?
nakumbuka ulishawahi kunipa link ya haya mambo kwann leo unasema ni illusion?ndio maana yake.
Hayatendeki, hata wanayoyaandika wanaandika nadharia tu, sio kitu halisi ambacho wamekifanya na kikatokea.nakumbuka ulishawahi kunipa link ya haya mambo kwann leo unasema ni illusion?
ooohh!! binafsi sijui kama ni kweli au ni uongo umejuaje kuwa ni nadharia tu..?Hayatendeki, hata wanayoyaandika wanaandika nadharia tu, sio kitu halisi ambacho wamekifanya na kikatokea.
Nimeongea na waelimisha rika wa haya mavitu, wote nilio ongea Nao wanasema hili jambo haliwekaniki kabisa hata kwa kufunga na kuombaooohh!! binafsi sijui kama ni kweli au ni uongo umejuaje kuwa ni nadharia tu..?
hapana nlikuwa najielewa 100%Akha! haukuwa unaota kweli..?
nopee ilikuwa ni kweli kabisaMbona umesema ghafla ulishtuka....au ulikua ndotoni mkuu
nlikuwa sijajiandaa kabisa , nikasema kuna next time japo nimekuwa mwoga kurudiakwa nini uliogopa ndugu? Au hukutaka kwenda kupiga misele town?
Hacha uoga kuwa jasiri mkuu, ila katika ishu ile Mtumie Mungu sana ili utape faida na sio hasara.
fanya leo tena ukiweza uje unifundishe na mimi si kila kitu niwe nahadisiwa tu!hapana nlikuwa najielewa 100%
kwakweli nimekuwa mwoga wa kurudia ,hata kulala chali siwezi siku hizi , mi nlikuwa nataka kuonja tu na nimeshaonja mkuu , download binaural beats therapy google playstore halafu fuatilia hatua ndani ya week 2 ulete mrejesho, ila sio kitu cha siku moja sababu inakuwia vigumu kama vile utajikuta unageuza geuza macho au ukapitiwa na usingizi , amini mkuu mimi nimejifunzia kwenye uzi huo mwaka jana december tu hapo, kuliko umsikilize anaekuambia haiwezekani jaribu mwenyewe ndo ujue ,,fanya leo tena ukiweza uje unifundishe na mimi si kila kitu niwe nahadisiwa tu!
Duh ngoja na mimi nijaribunopee ilikuwa ni kweli kabisa