jonii jonii
Member
- Jul 10, 2016
- 70
- 39
Unafikiria ulipo lala tuu....Mkuu
Ukitaka kurudi uanafanyaje ili urudi?
unasema maguuuuu😀 Utarudi tuMkuu
Ukitaka kurudi uanafanyaje ili urudi?
[emoji15] [emoji15] [emoji15]unasema maguuuuu😀 Utarudi tu
Meditation ipi salama?Niliwahi toa tahadhari na Leo narudia hii njia ya meditation ni hatari inakukutanisha na mapepo mabaya na hali yako itabadilika na utachanganyikiwa! Usifanye meditation hizo! Onyoo
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Niliwahi toa tahadhari na Leo narudia hii njia ya meditation ni hatari inakukutanisha na mapepo mabaya na hali yako itabadilika na utachanganyikiwa! Usifanye meditation hizo! Onyoo
It doesn't matter how the situation bad is.. Unaweza kucalm mind yako kwa kuanza na meditation ikisha ukifikia kurelax utaweza kufanya vema next time, never give upJana saa sita nimejaribu hiki kitu. Kwa saa zima sikuona chochote nikahisi labda ni hizi kelele za friji na hili feni langu bovu.
Nimeshtuka saa tisa umeme umekatika nikaona nijaribu tena kwakua zile kelele hazipo tena.
Nimefeli.
Nahisi hii kitu inahitaji amani ya kichwani na kua very relaxed. Hivyo vyote sina kwa sasa nadhani mpaka siku ajira zikitangazwa.
Hivyo nasimamisha zoezi kwa muda usiojulikana
Thread yangu haijaeleza hizo vituYaan mi nataka niuone huo ulimwengu mwingine. Sasa km njia hizi zimeshindikana waseme labda kuna unga unga lol..
MziziMkavu na wakuu wengine mtueleze jamani hiyo mnayosema rahisi mbona kwetu inashindikana, tatizo ni nn!!
Labda binafsi nikifanya hivyo tapata faida gani?Naweza kupinga au kukubali jambo fulani pale tu ninapokuwa na hoja,,,, wale mnasema kuwa Astral Projectionni ni kweli na sio uchawi tena mkiwa mmeshajaribu, naomeni mnithibitishie hili kwa kuja kwang chumban kwa kutumia hiyo Astral Projection na urudi kisha uniambie chumbani kumetandikwa shuka la rangi na lipoje,,,,,
Tahadhari; usijaribu kuja chumbani kwangu kama Astral Projection ni uchawi
Umejitahidi ungekua unaendelea ningekuelekeza mengine but you find it useless leave it..baada ya kuona mada humu jf inayohusiana na astral projection niliipenda na nikaanza kuifuatilia google ili nipate ujuzi zaidi, katika pitapita zangu kuna sehemu niliona kuwa kusikiliza tune flani ambayo ipo kama music inaweza kukusaidia kufanikisha lengo lako kirahisi,
ili kurahisisha mambo nikatafuta application kabisa yenye beats zote hizo ili nijaribu mwenyewe , niliipata application moja inaitwa binaural beats na ipo playstore na usiku bila kulaza damu nikaanza kuijaribu, sasa kwa vile nilikuwa na mteru at first nilikuwa naishia hatua za njiani,
sasa juzi nikasema ngoja nijaribu tena kama kawaida nikafungua ile app nikaweka beat ya astral projection na nikalala chali , lengo langu lilikuwa sio kutoka nje ya mwili bali nlitaka tu nisikilize zile beats kwani nligundua vilevile zinanisaidia kupata usingizi mapema kwahio kama una matatizo ya usingizi hii ni dawa tosha niamini mimi nimejaribu kwa vitendo
ghafla nilisikia ganzi ambayo haitofautiani sana na ile tunayosemaga ni ya kukabwa na jinamizi , kwa vile nlikuwa nishajua ni nini kinaendelea , nikainuka kutoka pale nilipo na nikageuka na aisee niliuona mwili wangu, nilishtuka ila kwa vile nilijua ni nini hiki na sijafa nikajikaza, kwa kweli kutokana na woga nilichofanya nilijaribu nikapaa hadi dirishani nikaona hapana , nnachokifanya hakina maana , nikarudi kitandani nikautikisa mwili nkajikuta nimeamka,
tangu imenitokea hivo siajalala tena chali japo natumia bado beats kunisaidia kupata usingizi kwani nahisi sipo tayari kiroho wala kiakili kufanya hio kitu , kama hujaelewa hii issue kuna uzi unaohusu astral projection ni nini na ndio huo hata mimi ulinipa mwanga kwa hio sipo hapa kuelezea nimekuja kusema njia rahisi tu kwa wale onja onja wenzangu,
NB: ni lazima utumie headphones au earphones ili kupata matokeo kwani hizo beats zina frequency tofauti kati ya L and R ambayo huiwez kuisikia kama ukisikiliza kawaida
Sasa mbona mmeyaleta hapa kama ni hatari! Dhumuni lenu ni nini! Si ili tujaribu au?!Spirit Mkuu Watu8 mambo haya hutoyaweza tuachie sisi wenyewe tunayoyafanya.Mambo ya Ngoswe Muachie ngoswe mwenyewe wewe angalia mambo yako yanavyokwenda. Usijaribu hiyo Elimu ya hali ya juu sio kila mtu anaweza kujaribu unaweza kupoteza maisha yako ukikosea japo kidogo.
Usikatae kwa usichokijuaMi naona unamfundisha mtu kuota na sio in real life hata mi huwa naota ila nakua palepale, huwezi toka nje ya mwili unless wewe ni mchawi.
What??Wakuu nafasi zimejaa.. wacha kuni p.m kuomba nafasi ni pm kwa mambo mengine..