Hiyo ni kwa experience zake na views zake mkuu since nimeanza kufanya sijawahi experience hayo hata niliyowafundisha piaDaaah mambo mengine siwezi Fanya aseee..!!Paskali Mayalla kanitisha
Hakuna kitu kama hicho acheni kudanganya watu na hadithi za kufikirikaNzuri sana ..but fanya kwa umakini, niliwahi kukutana na roho za watu zinazozagaa usipokua makini unaweza usirudi
Hakuna roho za watu zinazagaa labda kama alitoka kwa tunguli ndio akaona misukule hivi mnajua astral projection kweli?Dah![emoji134][emoji134]
Hebu tupe uzoefu wako kidogo, hizo roho za watu zinakung'ang'ania au inakua kuaje hadi ushindwe kurudi?
Wewe hii ulitoka na tunguli acha kupotosha watuMara nyingi hua wanataka kukimbilia kwenye mwili wako ku take over pia kama ulivyosema wengine wanakutaka ubaki nao wengine wanataka kukuambia uwasaidie mission zao uncomplished
its scary but lazima uwe na roho ya ujasiri
Acha kulishwa matango poriZinakuwa katika umbo gani mkuu? Zinaongea kabisa au ni kama connection fulani ya kitelepathy?
Matango poriSawa, samahani kwa udadis wangu Mkuu ndo najifunza zaidi.
Nasikia ile ya ku_Open up The Third Eye, ndio njia rahisi yakuingilia ulimwengu wa roho- kwamba hata kama ikatokea zoezi likaenda tofauti unarudishwa tu kwenye mwili wako automatically. Ni kweli? Nimemnukuu alivyosema Pascal Mayalla . Je, hizo roho zinazotangatanga hovyo hazitaweza kuku command au ku_take over kwenye mwili wako kwa njia hiyo ya 3rd Eye tofauti nahiyo ya Astral projection?
Mkuu uongo utakuponzamkuu, maelezo kuhusi hili jambo ni marefu na nimesha experience vitu vingi, pia hakuna kitu kama silver cold...ni silver cord ambayo kwa lugha rahisi ni kama connector kati ya soul na physical body
Hapana mkuu zikianza sauti za kwenye mwili ulipo popote pale unasikiaSasa mkuu kwa staili hiyo si unaweza kuta wamatumbi washakuzika na wamekusahau
Au inabidi ufanye hayo chini ya ungalizi maalum maana usije ukaamkia kaburini
Bado hujatoka nje ya mwili hizo ni ndoto tudaaah naishiaga kupaa paa juu tu sijui nakwama wapi
Ukifumba na kufumbua unakuwa umeshafikaMimi nilishawahi muuliza mwalimu Rakims akanijibu kuwa asilimia kubwa Kama yeye Alisoma tu na kufanya zoezi hakuwa na mwangalizi. Kwakweli Mimi ninachohofia ni kule ninavyosikia kurudi kwenye mwili wako Ni kwa hassle kweli kweli, Sasa Maisha yetu haya ya uswahilini unamaliza siku nzima haujafungua mlango si wanavunja mlango, unazinduka umo kwenye sanda wanamalizia kusalia jeneza. Labda mwalimu Rakims atuambie huwa inachukua muda gani mtu kurudi kwenye mwili wake?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe hii ulitoka na tunguli acha kupotosha watu
Rakims
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Mkuu unaweza kunielezea maana hasa ya kuwa spiritual enlightened?? Nini hasa maana yake?? Kuna ishara zimenitokea ambazo inaonesha nipo katika hatua hiyo.Meditation is the best mkuu maana unacombine vyote hivyo na vinakuwa highest level za meditation ukifanya sana meditation unapokuwa enlighten basi kila unachofanya kinakuwa useful na kinakwenda unavyotaka
Rakims
sio kama naota ni live nakuwa najiona kama mm ndo ulimwengu yan kama mm ndo space naonaga raha sana kwa kwel ila sijawai vuka hapaBado hujatoka nje ya mwili hizo ni ndoto tu
Rakims
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
ukiamka kama unaweza kumpiga utapiga sanaaa.meditaion leo unaweza ukafika mbali kesho usifike kama jana kuamka kwa distabunces ni mbala sanaKama ulienda umelala chali halafu mtu akaja akakugeuza mfano kiubavu eti hauwezi tena kurudi kwenye mwili wako?
Wewe hii ulitoka na tunguli acha kupotosha watu
Rakims
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye. Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake. Apelekaye ujumbe kwa mkono wa mpumbavu Hujikata miguu, na kunywa hasara. Miguu yake achechemeaye huwa dhaifu; Kadhalika mithali katika kinywa cha mpumbavu. Kama mfuko wa vito katika chungu ya mawe; Kadhalika mtu amheshimuye mpumbavu. Kama mwiba uingiao katika mkono wa mlevi; Kadhalika mithali katika kinywa cha mpumbavu. Fundi stadi hufanyiza vitu vyote; Bali amwajiriye mpumbavu ni kama awaajiriye watu wapitao. Kama vile mbwa arudiavyo matapiko yake; Kadhalika mpumbavu afanya upumbavu tena. Je! Wamwona mtu mwenye hekima machoni pake mwenyewe? Afadhali kumtumaini mpumbavu kuliko yeye.Hakuna kitu kama hicho acheni kudanganya watu na hadithi za kufikirika
Rakims
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
u had nothing to focusMbona mm naishi kulala nikianza zoezi nakosea wap
Mbona nimezingatia kila kitu Ila naishi kulala tuu had nothing to focus