Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Hatimaye safari yangu ya kuusoma huu uzi kwa siku tano sasa imekamilika.
Vile nazidi kuelewa ndio nazidi kugundua sijui.
Asante Rakim kwa uzi huu.
Ningekutana nao 5 years ago nisingekuelewa kabisa.
 
Hakuna meditation ya kuforce maana hutapata kitu ukiforce zaidi ya kuchemsha kichwa na kukipa maumivu.
Soma kitu kwa practices ndio utaelewa sio kwa fikra finyu

Rakims

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Unaweza fanya hivi halafu ukaona mambo yatakayotokea mbele, kwa mfano ukaona mechi ya yanga na simba itakavyokuwa kesho?
 
Unaweza fanya hivi halafu ukaona mambo yatakayotokea mbele, kwa mfano ukaona mechi ya yanga na simba itakavyokuwa kesho?
Swali zuri sana,hii kitu sijui kama ina uhalisia ama illusions tu,rakims anajibu shortly,ananiacha na utata mwingi sana
 
Imentokea ucku wa kuamkia jana mishale yale ya saa kumi iv.. Kabla cjalala nlpanga mida hiyo niamke ili nwexe kukamilisha baadhi ya mambo kabla hakuja kucha

Wakat npo usingixini nlisikia mwili kama unavibrate na uo mtetwmeko naweza kufananisha kama ule mtetemeko wa mguu au mkono ukiwa umeshika ganx kwa mbali nkajiulixa hii nini? hofu ikananishika kufuatana na iman yangu nkaanxa kutumia ule mfumo kukemea kemea sana nkijua mchaw anafanya yake ila kadri navo kemea naona ile hali ya mtetemeko wa mwili inazid kuwa kubwa na mwili unaxd kuwa mxto
Mtetemeko huo uliambatana na tumaumivu co tumaumivu maeneo ya kiuno cwex kuielexea hiyo hal

Nataka kuamka nashindwa hofu ikaendelea kuni jaa ndipo nkakumbuka kwamba hii ndio hali nliyokuwa naitaman intokee ili niwexe kutoka nje ya mwili ikanibid ni relax kwa kutumia ile trick ya breath in breath out
Baada ya kuvuta pumx mbili tatu kdogo hofu ikapungua na kuwa aware na maxngira ndipo nkasema ngoja nijalibu kuamka
nkajiona kama nmefumbua macho wakat najua nmefumba macho, hali iyo ili nichanganya na kushindwa kuelewa wap nilpo fumbua macho ni kwenye mwili au kwenye iyo roho ,
kahofu kakaanza kuja kwa kasi tena wakat uo bado nausikia mwili una vbrate na ni mxto na tuhali flan iv twa tumaumiv kwenye kiuno bado tunaendelea iyo hali nayo ilkuwa inantisha

Ok nkasema ngoja nijinyenyue nkajiona kabisa kichwa kinanyenyuka kutoka kwenye kichwa cha mwili mmmnh nkaogopa bandugu.. Nkaludi nkaanxa process xa kujiamsha kwa ile trick ya kuanxa kutikisa vdole vya mkono ad nkafanikiwa kuvitikisa kisha ndo nka fumbua macho

Saiv bnafsi naamin inawexekene na nasubiria intokee tena . Saiv ntajkaxa atlis nkae ktako nusu iyo roho iko nje nusu iko kwenye mwili ksha najrudsha najiamsha sitak mbwembwe kabsaa nsije nkadanji buree hahahaa
Mh siamini! Yaani hii hali ikutokee bila kudhamiria wewe mwenyewe, sidhani kama itakuwa ni astral projection yenyewe.
 
Pasco Ni kweli unayoyasema ndio maana kuna mambo mengine hayafai watu kufundishwa akikosea ndio anakufa moja kwa moja mimi huwa sipendi kujaribu kitu kwa njia ya Riski.

Mimi huwa inatokea sio kila siku kusafiri wakati nipo ndani ya usingizi nikikusudia huwa ndio ninasafiri na sio kwa nia mbaya bali kutembea na kujionea mwenyewe ulimwengu jinsi ulivyo ingawa ukizoea utaona raha lakini sio nzuri kusafiri ndani ya ndoto unaweza unakokwenda usirudi tena ulipo toka. nimekuelewa Mkuu Pasco.
I want to try this, plz what is ur advice?
 
Rakim

Mkuu Rakims, naomba kusisitiza astra projection ni astra projection tuu!, kwa kifupi unafundisha watu kufanya "out of body!"
sijakataa wewe kutoa mafunzo, ila nimekutahadharisha wafundishe hao wanafunzi wako, the consequences za out of body!, hiyo silver cord ni kama utando wa buibui!, mtu ukiwa kwenye out of body, ukitingishwa, inakatika na ndio safari!.

Haya yote ni 'power manifestation', wafundishe hao wanaotaka kutoka out of body, wanatoka ili iweje?!.

Hizi stages za juu sana na zinafanywa kwa lengo maalum, naona wewe kama unawafundisha watu humu wafanye astral projection for fun!.

Kwa wale wasomaji wa uzi huu, nawasisitizia "don't try do anything you real don't know!". Na kwa wenye nia ya kufanya, kabla hujafanya kitu chochote, lazima kwanza ujiulize "what for", na swali la pili, "do I have to do this?!", yaani unafanya ili iweje?, na jee ni kweli unahitaji kwenda "out of body?!." ili ukafanye mini?!.

Kwa msio jua, hizi ni powers ambazo kila mmoja wetu anazo!, hata bila kufuata maelekezo yoyote ya Rakims, watu wengi hutokewa na "out of body" bila kijua, na mfano mzuri ni ndoto za majinamizi, wengi hujikuta awake lakini hawezi kutingisha mwili au kupiga kelele, ni katika kule kustrain, ndipo unaamka na kijasho juu huku unahema!.

Wachawi na wanga, kabla hawamchukua mtu, humpiga hiyo ganzi, nyinyi mnamuona kalala, kumbe analimishwa usiku kucha!.

Wachawi wote hutumia hii out of body kukutana na kupanga mambo yao, hivyo kwenda out of body bila guidance, una bog chances au kukumbwa na wazee wa kupaa usiku ukaenda kufanyiwa initiation za kushiriki zile "karamu zao za usiku", na kuonjeshwa!, ukishaonja tuu!, huachi!.

Angalieni msiwapoteze watu wakajikuta wanaenda kusiko, na mwisho wa siku ni 'ever forward!, no turning back!"

Please watch out na kuweni waangalifu sana!.

Waponyaji wanazitumia nguvu hizi kuponyeshea, na wachawi wanazitumia kulogea!.

Masikini wanashindwa kuzitumia kwa kutojua, na matajiri, wanazitumia kutajirikia!.

Ningefurahi kama mafunzo yangekuwa how to use them to make a difference and not how to use them for fun!, kujifurahishia tuu!.

Pasco
Umecomment vema nakuunga mkono, tafadhal maneno yako n mazur naomba uweke uzi hapa kwa faida ya wengi esp mm nataka kutoka out of body plzzzz.
 
Unaweza kufanya kitendo halisi kabisa ukiwa katika hali hiyo?
Kufanya kitendo ambacho kitatoa hali halisi kwenye ulimwengu wa nyama ni stages za mbele baada ya kutoka zaidi ya mara 3 na kuweza kuexperience vizuri mazingira ya astral world katika hatua za kwanza utaweza kufanya vitu ambavyo vitakavyotoa athari za kiroho kwa kuanzia na roho yako

Hili ni moja mkuu,
Basi fikisha kumi kwanza kisha nitajibu kwa vipengele

Rakims
 
Guys nimejarib dis morning....wakati wa kutengana miili nj shidaaa u feel like hell yaan ubarid unauckia unaanzia miguuni kwene unyayo....unapanda taratib then take over inatakoa very slowly....separation of body! Nimeamua nijikurupue maana kuna imetoke very strange! But ntajarib tenaa jion
[emoji23][emoji23][emoji23]utatupa mrejesho
 
Hii mada imenifanya nimkumbuke binti mmoja (jini mahaba) alikuwa akinipeleka mahali popote nilipotaka kwenda hata huko angani juu sana. Ila alizidisha hamu ya kuwa karibu na mimi wakati wowote hata nikiwa kwa daladala ikabidi nimtimue.
Hii ni chai au ni kweli
 
Back
Top Bottom