Libya
JF-Expert Member
- Nov 11, 2016
- 790
- 1,968
Usimtumie meseji za userious sanaa
Kama vile, mambo?"habri ya usiku"? Umelala??? Umekula?? Una mpenzi?? Unasoma?? Unafanya kazi? Unaishi kwenu ??aumepanga??? wee mtoto wangapi?? Miaka yako??? N.k
Hizi manzi huwa hazipendi maswali maswali ,kiuhalisia binadam hapendi maswali.
Nakupa mbinu, Uitumie kwa mwanamke yoyotee maishan mwako ,utawala mpaka baaasi, utawala wengine hata siku hiyohiyo
[emoji117]Fanya mazungumzo hata km ni laivu au kwa simu au meseji yawe ni juu yakeee yaan Mpe Attention kubwaaaa
Mfano.. Alivyokupa namba...ungemtext,
1---Hey Jane ahsante kwa ukarimu na namba yako ya simu....
2--Yapo mengi ningependa niyajue juu yako maana wee mwanamke una upekee sana sijawah kuona kwa mwanamke mwengine.
Kama asingekujibu..ningetembea Uchi wa mnyama kuanzia Posta mpaka Tegeta
Akikujibu, Tumia akili chapchap kunotice madhaifu yake yaaan utajua ama kuna kitu mwilin mwake hakipendi, au kuna kitu hajikubali.... Sasa tumia huo udaifu wake kumpandia, Wee jifanye unamuona kakamilika..sikia weee sifiaa ,hawa wanawake wanapenda maneno matamu, achana sijui napesa, wee sifiaaa kwa meseji, sifiaaaa, Jiamini sifiaaaa sifiaaaa mfanye ajione ni malaikaaaaa kumbe ,mgogo mmoja alochangamka tu.
Baada ya hapo Fata hili
[emoji117]MKAUSHIEEE MKAUSHIEE yaaan kata ile Attention ulompa , usimtafute kila mara, usimpigie,siku ipite bila kumtafuta, hata siku moja,au mbil au tatu
ATAKITAFUTA MWENYEWE KUKUULIZA VIPI???
unamjibu , daaaahhh nilikua naubize huoo yaan ungeniona ungekuja kunipa Polee
Alafu msifie..sifiee..LKN nmemis kuona hayo macho yako mazri...lips zako...vipi , Hata ivo Nmepanga Jumapili kama sitakua bize basi nitakuita mahali tukutane, au unaonaje???
ASIPOKUJA, MIMI NAACHANA NA JAMIIFORUMS KABISAAAA.
hawa viumbe, unaweza kuwala bila kutoa hata Mia ,na akaja kwa nauli yake, akanunua chakula chenu wawili, wee ukalipia tu Room.
Hawa viumbe ukiwajulia unaweza muomba namba saa 7 mchana saa kumi ukamla.
Sio kwamba ni Malaya, hapana...Bali umefanikiwa kumvutisha kwako kihisia mpaka nyege zimempanda.
Leo mimi ,baada ya mtoko, nmepita kwenye ile Famasi nlowaeleza kule kwenye uzi wa kula kimasihara.
Nikalikuta Lichaga langu na Mdada mmoja Mkalii, bwan bwana kumbe kuna wanawake wembamba wanamvutooo sanaaaaaaa
Alikua kaja kuchomwa sindano, basi nikawapigisha mastori paleeee, wakawa wanachekaaaa, uyi dada akabaki kumuuliza mchaga.....
"""jaman jamaan Dada hivi huyu mkaka aa wapi? Hahahaha mkaka anachekesha hahahaha ivi mkaka ni Daktari??? Eeehhh hahaha
akamjibu Ndio
( Mkumbuke huyu mchaga ndo tumekulana majuzi kimasihara).
Basi nikamtania...acha mimi mwenyewe nikuchome sindano...
Akaaanza kuchekaa weee, oohooo naona aibu banaa, ohooo nn, mie nikashika bomba la sindan, nikavuta dawa, nikamvuta mkono, nikamuingiza huko nikamchoma sindano
Baadae kasemaje jamaaan jamaaan Sindano inauma, nikakatania..twende nikakufanyie massage
( mkumbuke bado tupo mbele ya mchaga mfamasia).
Kweli alivyotaka ondoka, nikamwambia twendeeee..
Nikamtaniaje mchaga...wee mke wangu ngoja nmsindikize Shemeji yako ...mchaga akachekaaaaa sanaa
Huwezi amini, nimimi tu ndo sijataka kwenda kumla huyu manza, kajieleza wee mpaka nmemjua kila kitu, ni Mwalimu wa sekondar , Kaolewa, ana watoto wawili,mumewe yupo Dodoma kikazi.
Sindano ya kesho nitamchoma mwenyewe, amesema niende kwake ,kwan wanawe wapo shuleni,yupo na mdada wakazi
Kaniambia kwakua leo nmesema nmechoka, kesho ndio atanipa K yake niichakate .,kasema atanipikia kuanzia chai mpaka cha mchana.
USITONGOZE MWANAMKE KWA USERIOUS WOWOTE ULE..ZAMA ZIMEBADILIKA, SIKU HIZI HAWATAKI MWANAUME ANAYEJIFANYA YUKO SERIOUS SANA.
Kama vile, mambo?"habri ya usiku"? Umelala??? Umekula?? Una mpenzi?? Unasoma?? Unafanya kazi? Unaishi kwenu ??aumepanga??? wee mtoto wangapi?? Miaka yako??? N.k
Hizi manzi huwa hazipendi maswali maswali ,kiuhalisia binadam hapendi maswali.
Nakupa mbinu, Uitumie kwa mwanamke yoyotee maishan mwako ,utawala mpaka baaasi, utawala wengine hata siku hiyohiyo
[emoji117]Fanya mazungumzo hata km ni laivu au kwa simu au meseji yawe ni juu yakeee yaan Mpe Attention kubwaaaa
Mfano.. Alivyokupa namba...ungemtext,
1---Hey Jane ahsante kwa ukarimu na namba yako ya simu....
2--Yapo mengi ningependa niyajue juu yako maana wee mwanamke una upekee sana sijawah kuona kwa mwanamke mwengine.
Kama asingekujibu..ningetembea Uchi wa mnyama kuanzia Posta mpaka Tegeta
Akikujibu, Tumia akili chapchap kunotice madhaifu yake yaaan utajua ama kuna kitu mwilin mwake hakipendi, au kuna kitu hajikubali.... Sasa tumia huo udaifu wake kumpandia, Wee jifanye unamuona kakamilika..sikia weee sifiaa ,hawa wanawake wanapenda maneno matamu, achana sijui napesa, wee sifiaaa kwa meseji, sifiaaaa, Jiamini sifiaaaa sifiaaaa mfanye ajione ni malaikaaaaa kumbe ,mgogo mmoja alochangamka tu.
Baada ya hapo Fata hili
[emoji117]MKAUSHIEEE MKAUSHIEE yaaan kata ile Attention ulompa , usimtafute kila mara, usimpigie,siku ipite bila kumtafuta, hata siku moja,au mbil au tatu
ATAKITAFUTA MWENYEWE KUKUULIZA VIPI???
unamjibu , daaaahhh nilikua naubize huoo yaan ungeniona ungekuja kunipa Polee
Alafu msifie..sifiee..LKN nmemis kuona hayo macho yako mazri...lips zako...vipi , Hata ivo Nmepanga Jumapili kama sitakua bize basi nitakuita mahali tukutane, au unaonaje???
ASIPOKUJA, MIMI NAACHANA NA JAMIIFORUMS KABISAAAA.
hawa viumbe, unaweza kuwala bila kutoa hata Mia ,na akaja kwa nauli yake, akanunua chakula chenu wawili, wee ukalipia tu Room.
Hawa viumbe ukiwajulia unaweza muomba namba saa 7 mchana saa kumi ukamla.
Sio kwamba ni Malaya, hapana...Bali umefanikiwa kumvutisha kwako kihisia mpaka nyege zimempanda.
Leo mimi ,baada ya mtoko, nmepita kwenye ile Famasi nlowaeleza kule kwenye uzi wa kula kimasihara.
Nikalikuta Lichaga langu na Mdada mmoja Mkalii, bwan bwana kumbe kuna wanawake wembamba wanamvutooo sanaaaaaaa
Alikua kaja kuchomwa sindano, basi nikawapigisha mastori paleeee, wakawa wanachekaaaa, uyi dada akabaki kumuuliza mchaga.....
"""jaman jamaan Dada hivi huyu mkaka aa wapi? Hahahaha mkaka anachekesha hahahaha ivi mkaka ni Daktari??? Eeehhh hahaha
akamjibu Ndio
( Mkumbuke huyu mchaga ndo tumekulana majuzi kimasihara).
Basi nikamtania...acha mimi mwenyewe nikuchome sindano...
Akaaanza kuchekaa weee, oohooo naona aibu banaa, ohooo nn, mie nikashika bomba la sindan, nikavuta dawa, nikamvuta mkono, nikamuingiza huko nikamchoma sindano
Baadae kasemaje jamaaan jamaaan Sindano inauma, nikakatania..twende nikakufanyie massage
( mkumbuke bado tupo mbele ya mchaga mfamasia).
Kweli alivyotaka ondoka, nikamwambia twendeeee..
Nikamtaniaje mchaga...wee mke wangu ngoja nmsindikize Shemeji yako ...mchaga akachekaaaaa sanaa
Huwezi amini, nimimi tu ndo sijataka kwenda kumla huyu manza, kajieleza wee mpaka nmemjua kila kitu, ni Mwalimu wa sekondar , Kaolewa, ana watoto wawili,mumewe yupo Dodoma kikazi.
Sindano ya kesho nitamchoma mwenyewe, amesema niende kwake ,kwan wanawe wapo shuleni,yupo na mdada wakazi
Kaniambia kwakua leo nmesema nmechoka, kesho ndio atanipa K yake niichakate .,kasema atanipikia kuanzia chai mpaka cha mchana.
USITONGOZE MWANAMKE KWA USERIOUS WOWOTE ULE..ZAMA ZIMEBADILIKA, SIKU HIZI HAWATAKI MWANAUME ANAYEJIFANYA YUKO SERIOUS SANA.