Jinsi ya kutunza pH ya Uke(Vaginal pH)

Mbona kwa wanawake wengi wa kiislamu hizo harufu hazisikiki Bali marashi tu au wao ni wasafi zaidi mazingira hayo????
Ushaingiza udini... Kuna watz waajabu kweli.
 
Basi mkuu nasubir maelekezo zaid
Kama unaishi na partner au mke/mume ambae ni muathirika, madaktari watakwambia utumie ARV ili kujilinda, kama umefanya ngono zembe unashauriwa kuanza kunywa ARV's within 72 hours after, kabla virus hawajajiattach kwenye cells zako na kuanza kuriplicate. The same way, ukiwa na partner ambae humwamini, unakunywa ARV, hata kama ana VVU haviwezi kureplicate kwani ARV ina inhibit.
 
[emoji106]
 
Ushaingiza udini... Kuna watz waajabu kweli.
Mkuu sio suala la udini, ni ukweli.

ktk masuala ya usafi wa K au K zisizo na na harufu ya kukera, wadada wa pwani ambao majority ni waislamu, wapo vizuri.wanajua kuzitunza K zao tofauti na dada zetu wa mikoa ya bara.

nalizungumza hili kwa uhakika zaidi nikiwa kama mwanume gentleman mwenye uzoefu na historia mujarabu ya "kugonga" K tofauti za bara na pwani.
 
Nashukuru sana mkuu...
 
The issue ni kuweka neno wadada wa kiislama and then unakuna kusema wadada wa pwani.. Kwa hiyo kwa utafiti wako wadada wa bara ambao sio waislam k zao Ina harufu?
 
..kuzama chumvini kuna madhara sana,the least Ikiwa ni mdomo kijeruhika
Nimeuliza swali naomba msaada ndugu yangu, kuna sabuni inaitwa 'KAISIKI' imeandikwa sabuni ya wanawake, na imetengenezwa maalumu kwa ajili ya kunawia ukeni, je ni salama kwa matumizi hayo?
 
Unaona [emoji121] [emoji121] [emoji121] nilichokwambia!
 
Mada zinazohusiana na viungo vya uzazi huwa zinapata wachangiaji wengi sana.....

Utashangaa uzi ulioanzishwa masaa mawili yaliyopita unafikia page ya 10.....

All in all JF ni jukwaa huru na kisima cha maarifa....,,

Enjoy it....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…