Mi nilifundishwa kujisafisha uke na maji BARIDI bila sabuni, na umalizapo tendo unachuchumaa kuna baadhi ya mbegu zitatoka baada ya hapo unatumia maji baridi kusafisha uke bila kuingiza kidole ndani na bila kutumia sabuni, kulala na shahawa kunatepetesha uke na kutumia maji moto pia kunalegeza uke, kujipangusa tu na kitambaa chenye maji sidhani kama unasafisha uke vizuri, maji baridi ya kutosha hutokuwa na harufu mabaya hata kidogo, pia kunywwa maziwa ya mgando kunasaidia sana kuimarisha afya ya uke., hata kuweka maiza ya mtindi kila umalizapo hedhi huepusha mardhi ya fungus kwa kuwa hizi pedi mara nyingi huwa zinaleta muwasho