Jinsi ya kuwa bilionaire!

tatizo lako umeajiriwa..kila kitu kwako unakiona kigumu...kitu rahis kwako ni kusubiri mshahara mwisho wa mwezi..think outside the box
 
tatizo lako umeajiriwa..kila kitu kwako unakiona kigumu...kitu rahis kwako ni kusubiri mshahara mwisho wa mwezi..think outside the box

Hizi dharau ndio hua sipendi, don't make this personal dude! Its just an argument, nina kazi zangu and am making enough to live a very comfortable life kwa taarifa yako, am a very happy guy, na sijawahi ajiriwa toka nazaliwa. Kuongea hapa JF tunabishana sio sababu ya kukaa una~undermine kila mtu. Grow up, argue with points if you can't just shut up.

Its obvious mtu ambaye hajawahi kufanya biashara ndio atakaa kufikiria alichosema mleta mada kua ni kitu rahisi kumbe in reality ni kitu hakiji kirahisi hivyo hasa kwa mtu asiye na pesa. Business is always a competition, kama unafikiria ull just get in and take over every other business keep on dreaming. Waste of time kuargue na watu wasio na idea hata kidogo.
 
tatizo lako umeajiriwa..kila kitu kwako unakiona kigumu...kitu rahis kwako ni kusubiri mshahara mwisho wa mwezi..think outside the box
Bora umenisaidia na wewe, huyu jamaa ni full employee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…