Mbona unaongea vitu vingi sana nahisi hata we mwenyewe huvielewiMe hawana ujanja leo hoo tukivamiwa na Nchi ngeni hatuawi kivita hii ni tangu zama!!.....watakufa wao af wanajifanya eti wanatumiliki hawanaga akili kabisa mtake msitake ke ni kila kitu!!
pima ofisini kwenu hapo msela na yule ambae ana mke nani yuko smart! msafi mnene!
Nyie mnajua wanaume tunataka nini na hatutaki nini? Action and reaction are equal and oppositeHamjui mwanamke anataka nini
mwanamke mmoja ananiheshimugi sanaPrinciple ni ile ndo umejua leo demu ukiwa available kwake mda wote anakuona mshamba kuwa kauzu kuwa serious ukiangalia makazini watu waliooa wanakuwa bussy na ndo wanakula mademu kutwa unaweza usiamini ila wale wakupenda story na kuchekesha chekesha wanatoswa wanaonekana wana akili za kitoto
[emoji419][emoji419][emoji419]Wazee salama ngoja niende moja kwa moja kwenye point nimegundua njia rahisi za kuwapata hawa viumbe pasua kichwa , njia hii inahitaji akili kidogo tu na njia yenyewe ni kuacha kuwashobokea au kuwapaparikia wanawake.
Wazee amini usiamini ukiwa bize na mambo yako yaani na life lako mademu watakutafuta sana utakula papuchi mpaka ukimbie.
Wanawake wote duniani wanapenda kupewa attention wanajijua wao ni maua hapa duniani,Kuna
mwanamke mmoja ananiheshimugi sana
I met her on facebook (messenger ) huko tumechat sana namba akawa anawaza kunipa sijui later akaja nipa alihisi nitakuwa namsumbua sijui maana nishaanza mbadilishia mada zikawa za kumsifia namna alivomzuri
Cha ajabu tulivohamia wasap nikawa nipo busy en serious sina mambo mengi wala stori nyingi nachat kwa nukta sometime anaweza reply msg yangu mchana nikajibu tena usiku
Akatokea nipenda akawa ananambia ananipenda na hajui kwann anajikuta tu.. aliniambia ni bikra pia ..from nowhere nikampotezea kama miezi kadhaa kuna kipindi nikamtxt nikamuuliza hivi ile bikra bado ipo akajibu namtunzia nani labda ...akanionesha yuko kwa mahusiano...nikamjibu tu haya then kimya ..status na view hata apost nn sijawah reply hata awe na mwanaume siulizi...juz juz kanichek ananambia we ni mtu wa tofauti sana nataman kukuona nijue kwann pia uko hivo...
Karbu miaka mitatu nina no zake hatujawah onana na yupo karbu nivile sijataka
Hiyo ni kawaida ya watu wa level yako!! mko wengi weye!! akili ndogo kamwe haiwezekani kuielewa akili kubwa!! tulia tu kunywa maji! ndo tunaenda ivo kijana!!Mbona unaongea vitu vingi sana nahisi hata we mwenyewe huvielewi
Wanawake wote duniani wanapenda kupewa attention wanajijua wao ni maua hapa duniani,
Yes! naona sasa unaanza kuelewa kabisaa!! siyo tunapenda tuuu!! ndo mlivyo agizwa mtutumikie sisi!! mtake msitake, alisha sema aliye sema!! habadiriki sasa weye acha uone moto unavokuwakia!!Wanawake wote duniani wanapenda kupewa attention wanajijua wao ni maua hapa duniani,
Daah nilijua ni mimi pekee yangu komenti zake nyingi hazielewekiMbona unaongea vitu vingi sana nahisi hata we mwenyewe huvielewi
Yaani hii ni bonge la point...Principle ni ile ndo umejua leo demu ukiwa available kwake mda wote anakuona mshamba kuwa kauzu kuwa serious ukiangalia makazini watu waliooa wanakuwa bussy na ndo wanakula mademu kutwa unaweza usiamini ila wale wakupenda story na kuchekesha chekesha wanatoswa wanaonekana wana akili za kitoto
Ndioo tunajuaNyie mnajua wanaume tunataka nini na hatutaki nini? Action and reaction are equal and opposite
Alichesema jamaa ni kweli 99.9% wanawake ukitaka wakutafute usihangaike nao. Kila mmoja atapenda kukujua kiundani, upo na nani na yaliyomo yamoo...hapo ndio pa kuwapigia sasa. Tena wote wamaa na wadada.Kazi kwako domo zege zege kama mtoa mada.
HahahaKazi kwako domo zege zege kama mtoa mada.
DuuhAlichesema jamaa ni kweli 99.9% wanawake ukitaka wakutafute usihangaike nao. Kila mmoja atapenda kukujua kiundani, upo na nani na yaliyomo yamoo...hapo ndio pa kuwapigia sasa. Tena wote wamaa na wadada.