Kwanini uweke alama ya tiki kwenye kibox cha ccm?Jiandae kisaikolojia maana ndio utaikuta chumba cha kura. Hiyo ni mfano tu kama hutaona vyama vyote vingine vimekatwa hapo
Chadema siioni mbona ?Bado siku chache tuifikie 28 Oktoba 2020 ambayo itaamua Tanzania inachukua mlengo gani wa kisiasa na kiuchumi.
Hivi ndivyo inavyotakiwa kupiga kura kwa kuweka alama ya Vema kumchagua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mbwa nyie ndio mnao nufaika na ccm tunataka chadema 28/10Ccm chama nakiamini sana kwa kuwajali wanachama wake. Mimi namiliki Ford Ranger.
Unajua ulichokiandika?Ccm chama nakiamini sana kwa kuwajali wanachama wake. Mimi namiliki Ford Ranger.
Iongezee wewe, hivyo ulivyoona ndivyo Watanzania watafanya October 28th.Mbona CDM haipo?
Unajua unachokisoma?Unajua ulichokiandika?
CDM wazembe sana.Wataalam wa IT wa CDM hebu fanyeni editing hiyo karatasi Lissu awepo kwenye hiyo sample.
Niiongezee wapi? Ni jukumu langu? Hicho kichwa chako ni furushi la kubebea makamasi tu?Iongezee wewe, hivyo ulivyoona ndivyo Watanzania watafanya October 28th.
Kura zote za ndio ni kwa JPM.
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Na wewe ndio pua yanapotokea makamasi...Niiongezee wapi? Ni jukumu langu? Hicho kichwa chako ni furushi la kubebea makamasi tu?
Yaani gari niliyokuhonga ndio unakuja kuwatambia watu huku.!? Je nikikupa V8 sindo utatamba mpaka kwenye vyombo vya habari vya TBC CNN na BBC...Ccm chama nakiamini sana kwa kuwajali wanachama wake. Mimi namiliki Ford Ranger.
Kwa ile ofisi yao hata wangekua na hao wataalamu wangekaa wapi pale?Wataalam wa IT wa CDM hebu fanyeni editing hiyo karatasi Lissu awepo kwenye hiyo sample.
Najua tu kuandika mama angu,kusoma nasoma kingerezaUnajua unachokisoma?
Kwani wewe ukisikia neno"goli la mkono" unaelewa nini?Kumbe unakiri tabia hizo za kipumbav mnazo?!
Mchezaji anaruhusiwa kufunga kwa kiungo chochote isipokuwa mkono. Akifunga au kugusa mpira kwa mkono katika mazingira yoyote ni faulo. Nimekujibu.Kwani wewe ukisikia neno"goli la mkono" unaelewa nini?
Tehe teheeeeeheKifo hakikimbiwi,hata ukifurukuta vipi CCM itakufa tu