Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halipo kisheria.Pesa za wafanyakazi, wapewe Haki yao
Mafao sio Pesa za Serikali na sio hisani
FAO la kujitoa Ni HAKI
Siwezi kumpa kura ibilisi.Bado siku chache tuifikie 28 Oktoba 2020 ambayo itaamua Tanzania inachukua mlengo gani wa kisiasa na kiuchumi.
Hivi ndivyo inavyotakiwa kupiga kura kwa kuweka alama ya Vema kumchagua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.View attachment 1607560
[emoji1][emoji38]View attachment 1607713
Ccm chama nakiamini sana kwa kuwajali wanachama wake. Mimi namiliki Ford Ran
🙄🙄🙄Ccm chama nakiamini sana kwa kuwajali wanachama wake. Mimi namiliki Ford Ranger.
Huwezi kuchagua mahali usiponifaika au mategemeo ya kunufaika.
Huyo Lissu utampigia kwa kuwa unategemea kunufaika kwake jambo ambalo ni ndoto ya mchana
Bado haitoshi kikakupachikia na papuchi mwilini mwako.Ccm chama nakiamini sana kwa kuwajali wanachama wake. Mimi namiliki Ford Ranger.
Mbwa nyie ndio mnao nufaika na ccm tunataka chadema 28/10
Haha mbona hii karatasi haijaonesha wagombea wote?😂😂Bado siku chache tuifikie 28 Oktoba 2020 ambayo itaamua Tanzania inachukua mlengo gani wa kisiasa na kiuchumi.
Hivi ndivyo inavyotakiwa kupiga kura kwa kuweka alama ya Vema kumchagua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.View attachment 1607560
Imebidi nicheke tu hahahaHiyo ni mbinu mojawapo ya kivita
Kitendo chako cha kuondoa baadhi ya vyama, kinaonesha kuwa huna nia nzuri na Taifa. Hata baada ya kupata uongozi, mtandelea kuwa wabaguzi. Ni kwa nini hajaacha vyama vyote ili wapiga kura waamue wenyewe ? Hii in amaana uko tayari kua hicho Chama.Bado siku chache tuifikie 28 Oktoba 2020 ambayo itaamua Tanzania inachukua mlengo gani wa kisiasa na kiuchumi.
Hivi ndivyo inavyotakiwa kupiga kura kwa kuweka alama ya Vema kumchagua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.View attachment 1607560