Mbona hata hao wenye sera, wanaishia kuweka ahadi ya kutekeleza mambo ya wenzao.Hahahahhahah hata akiwepo haisaidii. Ameshachelewa badala ya kuuza sera muda ameuchezea kulalamikia Magufuli na kutukana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hata hao wenye sera, wanaishia kuweka ahadi ya kutekeleza mambo ya wenzao.Hahahahhahah hata akiwepo haisaidii. Ameshachelewa badala ya kuuza sera muda ameuchezea kulalamikia Magufuli na kutukana
Kwann nitick boksi lakwanza,si mabox mengineHiyo ni mfano, unatakiwa kutick namna hiyo.
Tick hapo hapo boksi la kwanza kama inavyoonekana
Sahihi, sanduku la kura litaamua lakini sisi uhuru, haki na maendeleo ya watu tunayo tayari
JPM nae slijitahidi kutoa elimu ya mpiga kura namna ya kutick na matumizi bora ya karatasi. Hapo unatick au unaweka Vema jina la kwanza utakuwa umechagua rais bora kabisa duniani
Hiyo kura imeharibika.Tik unaweka chumba Cha mwisho chiniBado siku chache tuifikie 28 Oktoba 2020 ambayo itaamua Tanzania inachukua mlengo gani wa kisiasa na kiuchumi.
Hivi ndivyo inavyotakiwa kupiga kura kwa kuweka alama ya Vema kumchagua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.View attachment 1607560
Umetumia mbinu gani ukapata FR?Ccm chama nakiamini sana kwa kuwajali wanachama wake. Mimi namiliki Ford Ranger.
We si kichwaboccksss, utaendeshaje FordRangerUmetumia mbinu gani ukapata FR?
Mbona wengine wanachama lakini hatuna?
Haitakusaidia. Aliyepewa kapewa tu ndugu yangu.Isingekuwa ukichora picha ya mgombea hauharibu kura. Kuna mgombea ningetoboa toboa macho yake
Kwa ile ofisi yao hata wangekua na hao wataalamu wangekaa wapi pale?
CDM wazembe sana.
Hamna kitu hapo, ukiVEMA umechagua ushoga hapo