JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 685
- 1,124
Kunywa maji mengi ni jambo muhimu sana katika kuzuia mawe kwenye figo. Kunywa kati ya glasi 12-14 (zaidi ya lita tatu) kila siku
Usile chumvi nyingi, chumvi nyingi katika chakula inaweza kufanya kalsiumu zaidi itoke mwilini kwa njia ya mkojo na hivyo kuongeza hatari ya mawe kutokea
Punguza vyakula kama nyama ya mbuzi, kuku, samaki, ng’ombe na hata mayai. Hivi huwa na asidi nyingi ya aina ya yurik ambayo huleta mawe
Kula mboga mboga na matunda mengi ambayo hupunguza asidi kwa ujumla na kwenye mkojo