Mhul90
Member
- Apr 15, 2013
- 6
- 4
Kasema ni maji ya kununua??!Lita tatu za maji ya Kilimanjaro ni 3000 x siku 30 jumla ni 90,000
Hapo bado king'amuzi, Kodi , Hela ya usafi , vicoba, Vocha , bado mizinga, saidia, ndugu, hujala asubuhi - usiku.
Kweli ni mitano Tena a.k.a Again