Kasema ni maji ya kununua??!Lita tatu za maji ya Kilimanjaro ni 3000 x siku 30 jumla ni 90,000
Hapo bado king'amuzi, Kodi , Hela ya usafi , vicoba, Vocha , bado mizinga, saidia, ndugu, hujala asubuhi - usiku.
Kweli ni mitano Tena a.k.a Again
Ni kweli mie niliumwa maumivu yake sio ya kitoto bila kuchomwa diclofenac utalia ujuteNilisikia dawa ya mawe kwenye figo ni kunywa maji mengi.
Ukinywa maji mengi sana mawe yanayeyuka na kupona.
Je ni kwel?
Hivi MUNGU aliesema kuleni vyote nimewapa alikosea?Yani nisile Mbuzi,Kuku Samaki Mayai nk.....
raha ya kuishi unaitoa wp hapo usipokula hivyo vitu!!!??
mwingine ataongezea usinywe na pombe....
Una kazi pia ya kwenda toelet Kila wakatiTumia ya kuchemsha nyumbani. Unabeba container ya lita tatu kwenye begi fresh kabisa. Mimi huwa natembea na gallon ya lita tano ya maji ya kuchemsha ya nyumbani linakuwa na barafu kabisa limegandishwa.....
Nikiliacha kwenye boot mule na hili joto la Dar inayeyuka taratibu nakwenda kumimina lita moja na nusu kila mara baada ya gallon kukauka hadi yanaisha.....
Na nikitembea siwashi AC inanisaidia sana kunywa maji maana lile joto linanifanya nisweat na kutoka jasho nyingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida kwa sisi tusiokuwa na magari kidumu cha lita tano unaenda kwenye mishe mishe huku ukiwa kwenye mishe mishe ya kubeba kidumu cha 5litresTumia ya kuchemsha nyumbani. Unabeba container ya lita tatu kwenye begi fresh kabisa. Mimi huwa natembea na gallon ya lita tano ya maji ya kuchemsha ya nyumbani linakuwa na barafu kabisa limegandishwa.....
Nikiliacha kwenye boot mule na hili joto la Dar inayeyuka taratibu nakwenda kumimina lita moja na nusu kila mara baada ya gallon kukauka hadi yanaisha.....
Na nikitembea siwashi AC inanisaidia sana kunywa maji maana lile joto linanifanya nisweat na kutoka jasho nyingi.
Sent using Jamii Forums mobile app