Jinsi ya kuzuia tatizo la kuharisha safarini

Safarini tembea na kamba kavu ya magome ya mgomba. Funga kidole cha mwisho cha mguu wa kushoto.

Huwezi kujisaidia haja kubwa NG'OO hadi ufungue kamba hiyo.

TEST IT
Dah.... Au chukua njiti 2 za kiberiti...zifunge pamoja kwa Uzi wa kaniki....weka juu ya sikio.....haja size zote utazisikia kwa wengine hadi utoe njiti sikioni 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tumia kitunguj saumu
 
Safarini tembea na kamba kavu ya magome ya mgomba. Funga kidole cha mwisho cha mguu wa kushoto.

Huwezi kujisaidia haja kubwa NG'OO hadi ufungue kamba hiyo.

TEST IT

Ukikaa na mchawi na yeye akishika hilo gome la mgomba akilitoboa kuharisha ni dakika sifuri

Hata ww unaweza mchezea mtu mchezo ukiwa nae karibu toboa gome la mgomba chap anaenda kuharisha imeisha hiyo
 
Kama unaona viashiria vya tumbo mgogoro ysiku wa kuamkia safari kunywa LOPERAMIDE (vinauzwa elfu moja tu)..
 
dawa ya kuharisha safarini ni kuacha ulaku tu. utakuta umekaa na jibu kwenye basi kila basi likisimama ananunua chochote na anakula, hajanawa mikono na hajui vyakula hivyo vimekaa siku ngapi hadi yeye aje kuuziwa. kuna mmoja tulikuwa tunaelekea mkoa fulani ikabidi ashukie njiani akapange guest safari itaendelea kesho yake, kwasababu alishajinyea tayari na watu washaanza kulalamika harufu, tena dume zima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…