Jinsi ya kuzuia wezi wa Tv majumbani

Kitu chochote kisicho zuia huwezi funga kwa bei kubwa hiyo. 180,000 ni TV nyingine tu
Pia zingatio Thamani ya TV unayonunua kwanza kisha ndio useme hiyo ni bei kubwa au ndogo
 
Siku hizi wezi wakiiba cha kwanza kabisa ni kukagua. Na ndo maana bado zinaibiwa sana
 
Kitu chochote kisicho zuia huwezi funga kwa bei kubwa hiyo. 180,000 ni TV nyingine tu
Tracker za tv zauzwa chini ya 23,000 hapo mtoa mada kajiongeza tu awapige watu
 
Kampuni gani walikufungia gps?
Ninataka kufunga kwenye chombo changu cha usafiri.
Kata bima kubwa usihangaike na gps, maana siku hizi wakiiba inaenda kaguliwa mapema kabisa
 
Tracker za tv zauzwa chini ya 23,000 hapo mtoa mada kajiongeza tu awapige watu
Sawa hiyo ni kwa mtazamo wako. ZIngatia chombo kinachofungulia ni TV. Kama ni kwa bei hiyo kila mtu angeweza kujifungia
 
Dah una bahati sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…