Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,166
- 13,514
Ulimchukulia your my wife wako?Mimi nilishamchukulia ..... cheti chake.
Aliandika barua ya mimi kuomba kumchukulia cheti chake. Nilitoa copy vitambulisho vyangu wakanikubalia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulimchukulia your my wife wako?Mimi nilishamchukulia ..... cheti chake.
Aliandika barua ya mimi kuomba kumchukulia cheti chake. Nilitoa copy vitambulisho vyangu wakanikubalia.
Tumefanya hivyo na ku certify kwa mwanasheria bado karnataka original.WakikataA nenda kaipige picha kwenye simu toa print copy mtumie mwanafunzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo aliyenijibu ni mwalimu mkuuMbona mimi mtoto wangu nimemchukulia cheti cha form 6 labda inategemea na shule nenda kamuone mwl mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kauli...namna unavyojieleza...mtu uliyekutana naye. Siwezi nikatoka Arusha kufuata cheti nikafika Dar ukaniambia habari za wizara.Wewe ulikuwa kama mzazi au.Nimemwambia mwalimu mkuu wa shule kama mwenyewe kupitia mwanasheria anaweza kuandika barua wanasema mwongozo unakataza.Nimejichokea na hiyo miongozo kwa kweli kwani Ada nilipe then cheti siruhusiwi
Hapana...mdogo wangu.Ulimchukulia your my wife wako?
Tuambie MATOKEO yake KwanzaJamani naomba kupata maelekezo kuna uwezekano kwa mzazi kumchukulia mtoto wako cheti chake cha form four au six kama yeye mwenyewe hayupo nchini na nina documents zote zinazoonyesha hayupo.
Cheti original kinahitajika chuoni alipo. Je, kuna uwezekano wa mzazi kukichukuwa? Na je, utaratibu upoje?
Kama nimeweza kumlipia karo miaka yote hata cheti siwezi kupewa? Jamani naomba mwenye kuelewa utaratibu anisaidie.
Hongera Sana. Nadhani Mkuu wa Shule anaogopa asije kutumbuliwaDivision two PCM
Kwa nini chuo kisikubali kutumiwa matokeo yake na baraza moja kwa moja?Tumefanya hivyo na ku certify kwa mwanasheria bado karnataka original.
Mimi wakati nasoma nchi za watu nilimtuma mtoto wa ndugu yangu.Jamani naomba kupata maelekezo kuna uwezekano kwa mzazi kumchukulia mtoto wako cheti chake cha form four au six kama yeye mwenyewe hayupo nchini na nina documents zote zinazoonyesha hayupo.
Cheti original kinahitajika chuoni alipo. Je, kuna uwezekano wa mzazi kukichukuwa? Na je, utaratibu upoje?
Kama nimeweza kumlipia karo miaka yote hata cheti siwezi kupewa? Jamani naomba mwenye kuelewa utaratibu anisaidie.
Hiyo shule washamba tu. Kuna uwezekano wa mtoto wako kuandika formal letter akiomba umchukulie cheti chake. Hicho kinafanyika sana. Hao labda wanataka hongo, ongea nao vzr. Bongo ukiona mtu ana complicate jambo ujue anatengeneza mazingira ya rushwa.Nimeenda ndugu ,wamenikatalia na hawatoi na wanasema hakuna alternative. Sasa nikajiuliza kama motto akinipa power of attorney bado wamesema haiwezekani.Sasa mwenye kujua unafanyaje.Mimi naming kuna alternative
Daah umesisitiza kabisa eti mdogo wanguHapana...mdogo wangu.
Nilikuwa kama mzazi mlezi.
Hapo TOA CHOCHOTE KITU KAZI IMEISHAAA...!!Wewe ulikuwa kama mzazi au.Nimemwambia mwalimu mkuu wa shule kama mwenyewe kupitia mwanasheria anaweza kuandika barua wanasema mwongozo unakataza.Nimejichokea na hiyo miongozo kwa kweli kwani Ada nilipe then cheti siruhusiwi