Jinsi ya mzazi kumchukulia cheti cha sekondari mtoto wake aliye nje ya nchi

Jinsi ya mzazi kumchukulia cheti cha sekondari mtoto wake aliye nje ya nchi

Hapo ni suala la busara na uelewa wa mkuu wa shule, ofisini mpo wawili tu mkuu wa shule na wewe, technolojia imekuwa siku hizi mkuu anaweza kuambia nenda na document kuonyesha wewe ni mzazi wake, pili andika barua ya kujicomir unachukua cheti tatu, kuna whatsap video call fika kwa mkuu mpigie kijana aongee na wewe live mkiwa na mkuu kisha atume video fupi akisema cheti mpatie mzazi mkuu atoe cheti

Lengo ni ushahidi siku mtahiniwa akirudi dai cheti akute hakipo hofu ya nini hapo ni kuyajenga tu mkuu wa shule na wewe
Ya whatsapp ni uongo kukubalikaa... Ila barua sawa maana serikalkni kila kitu ni document!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani sema sisi tunataka mambo kirahisirahisi....
Cheti ni cha aliyefanya mtihani na kutunukiwa...hivo anayeruhusiwa kukabidhiwa ni mwenye cheti na sio mzazi ati kisa kalipa ada etc. Thamani ya cheti haipimwi na hela.
Mtoto akishachukua cheti chake ndo yupo free kumwachia mzaz wake.

Incase mzazi kachukua cheti na mtoto kaamua kumkomoa mwlm...basi mwlimu 20yrs itamuhusu.

Kuna kesi mbili mi ninazifahamu...
1. Mzazi (baba) waliparangana na mkewe...mtoto akawa anaishi na mama....baba akaamua kwenda kuchukua cheti....mtoto anafata chet akakosa...akatishia kwenda polisi..ilibd mkuu ampigie babake na kumbembeleza....ana kumweleza yeye atafungwa...baba akaachia chet...

2. Kuna baba alichukya cheti for good.
Mtoto kwenda kuchukua akakikosa...akaenda polisi mojakwamoja....wakaja wakamsweka mwlm alikaa ndan 2days...later baba akasema chet akukichukua yeye....mwlm aliachiwa na kukabidhi ofic

Sasa mwongozo uliopo ni mwanafunz ndo anakabidhiwa cheti...
Tusirahisishe mambo jamani.... 20yrs sio kitu kidogo
Hizi stori Mwalimu Socha wa galanosi alituhadithia tukiwa form 5.

Ila mimi nilimpigia mkuu wa shule simu. Nikaandika barua yule mchukuaji akatoa kopi ya kitambulisho chake akaenda kuchukua cheti changu.
Kwa hio hawakubali ila ukifuata taratibu nzuri unakipata.
Labda kama hio shule waalimu ni wapumbavu ambao wanashindwa kuja na alternative.
 
Hizi stori Mwalimu Socha wa galanosi alituhadithia tukiwa form 5.

Ila mimi nilimpigia mkuu wa shule simu. Nikaandika barua yule mchukuaji akatoa kopi ya kitambulisho chake akaenda kuchukua cheti changu.
Kwa hio hawakubali ila ukifuata taratibu nzuri unakipata.
Labda kama hio shule waalimu ni wapumbavu ambao wanashindwa kuja na alternative.
Ngoja nijaribu kumwona mwalimu na barua ya mwanafunzi,kitambulisho changu na barua yangu nione kama itasaidia
 
Jamani naomba kupata maelekezo kuna uwezekano kwa mzazi kumchukulia mtoto wako cheti chake cha form four au six kama yeye mwenyewe hayupo nchini na nina documents zote zinazoonyesha hayupo.

Cheti original kinahitajika chuoni alipo. Je, kuna uwezekano wa mzazi kukichukuwa? Na je, utaratibu upoje?

Kama nimeweza kumlipia karo miaka yote hata cheti siwezi kupewa? Jamani naomba mwenye kuelewa utaratibu anisaidie.

Hukutumia busara kuomba hicho cheti..... Aya ya mwisho inaonesha hivyo kama ungetumia busara huyo mwalimu angekuelekeza taratibu zakukipata
 
Jamani naomba kupata maelekezo kuna uwezekano kwa mzazi kumchukulia mtoto wako cheti chake cha form four au six kama yeye mwenyewe hayupo nchini na nina documents zote zinazoonyesha hayupo.

Cheti original kinahitajika chuoni alipo. Je, kuna uwezekano wa mzazi kukichukuwa? Na je, utaratibu upoje?

Kama nimeweza kumlipia karo miaka yote hata cheti siwezi kupewa? Jamani naomba mwenye kuelewa utaratibu anisaidie.
Unachukua bila tatizo ilimradi uwe na udhibitisho kwamba wewe ndio mzazi wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom