Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Unaweza ukajiuliza kwanini Mama kawapa Yanga dege letu la kisasa.
Basi ondoa shaka ni kwa nia njema, kwani hawa watu wanahistoria mbaya huko Algeria.
Kama lilivyoreport gazeti la Mwanaspoti mwaka 2017.
Rubani alisubirii weee akaamua kuamsha.........
Basi ondoa shaka ni kwa nia njema, kwani hawa watu wanahistoria mbaya huko Algeria.
Kama lilivyoreport gazeti la Mwanaspoti mwaka 2017.
Rubani alisubirii weee akaamua kuamsha.........