Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
BIla dege hawa vijana wanatabia ya kupotea.umesema kweli
Waliopotea ni Yanga mkuu.....ππ€£π€£π€£π€£ wanasimba mna nongwaa sanaa
Nimeelewa kwanini mama kawapa hawa Uto dege letu."Rubani asubiri mweeee aamua kuamsha"
Hata ningekuwa mimi
Gongowazi ni Gongowazi tu wale sio wakuwapa dhamana wanaweza wakaja ni mpya nyingine ambayo hatukuweza kuifikiriaNimeelewa kwanini mama kawapa hawa Uto dege letu.
0-2ππππ nyieee
πππ....Gongowazi ni Gongowazi tu wale sio wakuwapa dhamana wanaweza wakaja ni mpya nyingine ambayo hatukuweza kuifikiria
Sasa kama walibeba na unga kulikuwa na haja gani ya kusema mashabiki lialia wameachwa kwasababu hawana hela ya kujikimu?πππ....
Naskia wamebebelea Viroba vya dona na wapishi.
Eti wanakwepa hujuma.
Uto hata nyie ni wa kuhujumiwa? Nyie mnapigwa hivi hivi tu.
Wachambuzi hawajaenda, dege lilijaaKwani wameondoka wachambuzi gani?
Nadhani ulitaka kusemaAkili zako ni finyu sana.
Wamemchukua msemaji aliyekuwa anawatusi usiku na mchana.
Wasemaji wao NAO pia wamekuwa trained KUTUKANA WATU wazima.
UTOPOLO NI UTOPOLO TU.
Kwani wameondoka wachambuzi gani?
Waelekezwe kuwa lile dege ni la taifa sio mali yao binafsi......Hii report ilikuwa ni ya 2018
Yanga Walipigwa 4-0.
Wameondoka na machawa wao.
Akina Kitenge.......
Na waganga wengi MNO...
Ndege ilikuwa inanuka mahirizi
Kama ni matokeo yaliyopita umesahau kuweka 1. Ilikuwa hivi 1-2.