Jionee maajabu! Hizi ndizo aina tatu za wanawake na styles zao

Jionee maajabu! Hizi ndizo aina tatu za wanawake na styles zao

Kuna mmoja nilimpa out alivyokunywa tu Henken mbili akaanza nina Toyota Harrier na IST zimekodishwa na kampuni ya vodacom ziko kahama
Nikamsifia tu hongera
Hajui kuwa ninamfahamu sana kupitia rafiki yake ni rafiki na jamaa yangu na wanakaa geto moja
Ila huwa wanatumia ujanja huu ili game likiisha ukate dau linaloeleweka
Ujue si mtu wa 20000,30000
 
Nendeni vijijini hakuna cha type I, ii au iii Kule ni heshima zaidi
 
Type 1 hawana changamoto,huwezi kuwa tajiri ukiwa nao hao! Mambo yote type 2,mtu ana biasha km nne hivi lazima ujipange kumtokea.
 
Me nna type 2 Lakini wananchi wanasema xo bure huenda nimelishwa icho kipande cha kwenye nyapu! Coz vishatokea visa kaa laki na nusu iv vya kusikitisha xana kwenye hii love lakini bado mwenyewe namuona mpya
 
Me nna type 2 Lakini wananchi wanasema xo bure huenda nimelishwa icho kipande cha kwenye nyapu! Coz vishatokea visa kaa laki na nusu iv vya kusikitisha xana kwenye hii love lakini bado mwenyewe namuona mpya
Ama kweli love is blind
 
Kuna mmoja nilimpa out alivyokunywa tu Henken mbili akaanza nina Toyota Harrier na IST zimekodishwa na kampuni ya vodacom ziko kahama
Nikamsifia tu hongera
Hajui kuwa ninamfahamu sana kupitia rafiki yake ni rafiki na jamaa yangu na wanakaa geto moja
Ila huwa wanatumia ujanja huu ili game likiisha ukate dau linaloeleweka
Ujue si mtu wa 20000,30000
Hahahah Babeki kweli mjini shule asee...
yani watu wanaishi kijanja tuu
 
Kuna mmoja nilimpa out alivyokunywa tu Henken mbili akaanza nina Toyota Harrier na IST zimekodishwa na kampuni ya vodacom ziko kahama
Nikamsifia tu hongera
Hajui kuwa ninamfahamu sana kupitia rafiki yake ni rafiki na jamaa yangu na wanakaa geto moja
Ila huwa wanatumia ujanja huu ili game likiisha ukate dau linaloeleweka
Ujue si mtu wa 20000,30000
Hahahah Babeki kweli mjini shule asee...
yani watu wanaishi kijanja tuu
 
STUNTER aisee "nimebahatika" kuexpirience type zote hizi Tatu... Hao namba moja tatizo lau wajuaji mno ndio maana wengi wana mawe lakini hawaolewi! Ujuaji mwingi, alafu ukitaka mdumu au muishi viziri eidha umzidi hela au umzidi elimu (Sana sana hela) la sivyo 'unalo', utapiga weeee lakini hakubali habadani umuoe..

Hawa namba mbili huwaga ndio wasumbufu sana wakiolewa lakini sijui kwanini hawa type 2 ndio wana upepo wa kuolewa balaa!! Nahisi hawa wanajuaga kucheza na akili zetu wanaume.. Yani mnaweza kukaa mwezi au hata miezi miwili hajakuomba hata sh. mia yuko bize na 'mishe' zake za 'vitenge' lakini siku anakupiga mzinga huo mpaka nywele zinatoka mvi ghafla!! Alafu vizinga vyao huwa ni ngumu mwanaume kuchomoa, wako vizuri sana hawa!!
Alafu wanapenda kulazimisha ndoa, yani ukiwa nae miezi miwili tu anaanza kuongea mambo ya kuoana..

Hawa type 3 hawaumizi kichwa! Hawa wewe muhonge tu hela za kupanda 'bajaji', kubadilisha weaving, kununua handbag... Then na wewe jilipe, piga kadiri uwezavyo!! Lakini never ever usithubutu kuoa.. Alafu uzuri wenyewe wanajijuaga hawataki uwaache lakini pia akung'ang'anizi umuoe..

Kama ni kuoa angalau kidogo type 1, ingawa nao wengi wao wanakera hawajui kuplay ile role yao ya uanamke!! Wanataka nao wawe na sauti kama wewe..

Mi nasubiria Muumba atoe version mpya (type 4) labda hapo naweza kuoa.. [emoji3] [emoji41]
Type 1 ujuaji haukwepeki hii inatokana na caliber yao vinginevyo kungekuwa hakuna tofauti! Ukimpata ambae elimu yake imemsaidia huwa anajitambua na kutambua nafasi yake ktk mahusiano/ndoa.
 
Type 1 ujuaji haukwepeki hii inatokana na caliber yao vinginevyo kungekuwa hakuna tofauti! Ukimpata ambae elimu yake imemsaidia huwa anajitambua na kutambua nafasi yake ktk mahusiano/ndoa.
Let me guess! Wewe ni type 1, maana huu mwandiko na unavyowajengea hoja [emoji1]
 
Ni utahira mwanamke kwenda kazini na kukuacha umelala kitandani.
Unatamia?
 
Back
Top Bottom