Jionee maajabu! Hizi ndizo aina tatu za wanawake na styles zao

Jionee maajabu! Hizi ndizo aina tatu za wanawake na styles zao

STUNTER aisee "nimebahatika" kuexpirience type zote hizi Tatu... Hao namba moja tatizo lau wajuaji mno ndio maana wengi wana mawe lakini hawaolewi! Ujuaji mwingi, alafu ukitaka mdumu au muishi viziri eidha umzidi hela au umzidi elimu (Sana sana hela) la sivyo 'unalo', utapiga weeee lakini hakubali habadani umuoe..

Hawa namba mbili huwaga ndio wasumbufu sana wakiolewa lakini sijui kwanini hawa type 2 ndio wana upepo wa kuolewa balaa!! Nahisi hawa wanajuaga kucheza na akili zetu wanaume.. Yani mnaweza kukaa mwezi au hata miezi miwili hajakuomba hata sh. mia yuko bize na 'mishe' zake za 'vitenge' lakini siku anakupiga mzinga huo mpaka nywele zinatoka mvi ghafla!! Alafu vizinga vyao huwa ni ngumu mwanaume kuchomoa, wako vizuri sana hawa!!
Alafu wanapenda kulazimisha ndoa, yani ukiwa nae miezi miwili tu anaanza kuongea mambo ya kuoana..

Hawa type 3 hawaumizi kichwa! Hawa wewe muhonge tu hela za kupanda 'bajaji', kubadilisha weaving, kununua handbag... Then na wewe jilipe, piga kadiri uwezavyo!! Lakini never ever usithubutu kuoa.. Alafu uzuri wenyewe wanajijuaga hawataki uwaache lakini pia akung'ang'anizi umuoe..

Kama ni kuoa angalau kidogo type 1, ingawa nao wengi wao wanakera hawajui kuplay ile role yao ya uanamke!! Wanataka nao wawe na sauti kama wewe..

Mi nasubiria Muumba atoe version mpya (type 4) labda hapo naweza kuoa.. [emoji3] [emoji41]
Kaka, umenena vyema. Ni changamoto kwa kweli. Tatizo ni kuna baadhi ya wanawake ni Type 1 ila wanatabia za type 3. Hawa wamauwezo wa mzuri tu ila hawaishi kupiga mizinga ili mradi tu kukupa changamoto mtoto wa kiume. Hawa kwa sasa ni wengi sana.
 
ha ha mi nnayo moja huwa siielewi elewi naona kama ipo btwn namba 2 na namba 3 inantesa vibaya ila ndo ivo sasa ina papuchi nzuri
 
ha ha mi nnayo moja huwa siielewi elewi naona kama ipo btwn namba 2 na namba 3 inantesa vibaya ila ndo ivo sasa ina papuchi nzuri
hahahhahahahahahahahahaaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom