sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Nisiongee sana, hebu tazameni wenyewe kinachoendelea wakati huu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio Iron dome iliyoboreshwa?
Kombora hata moja likirushwa kwa Hamas wanaweza kulizuia ?Hii ndio Iron dome iliyoboreshwa?
Ikikutana na maroketi zaidi ya 1000 mfululizo lazima izidiwe
T14 Armata
Hamas hawana ADS...Kombora hata moja likirushwa kwa Hamas wanaweza kulizuia ?
Waisrael ndio wanashikilia mifumo ya fedha, suala la pesa sio tatizo kwao ila hawasemi hadharani, missle moja ya iron dome kuwa dola elf 50 kwao ni kama kununua mawe ya manati.Missile 1 ya iron dome ina cost $50000.
Roketi moja likizuiwa lililotengenezwa kienyeji, almost Tshs milioni 125 imetembea, vita ni gharama sana.
, hizo ni hekaya, nchi zenye pesa chafu ni arabuni huko, israel inapokea msaada wa dola bilioni 3 kila mwaka kutoka US, na juzi hapa wameomba wasaidiwe dola bilioni 14 kupambana na Hamas.Waisrael ndio wanashikilia mifumo ya fedha, suala la pesa haliwezi kuwa tatizo kwao, kombora moja kuwa dola elf 50 kwao ni kama kununua mawe ya manati
Iron Dome haifanyi interception hivi. Hii itakuwa simulation ya wargame.
Hakuna nchi inaweza izuia makombora 1000 kwa pamoja. Hata 100 kwa pamoja haipo sababu huwezi jaza batteries kibao sehemu moja, hizo chache zilizopo lazima ziwe overwhelmed na bado kuna reloading timeHii ndio Iron dome iliyoboreshwa?
Ikikutana na maroketi zaidi ya 1000 mfululizo lazima izidiwe
T14 Armata
Waarabu ni wabinafsi, familia chache zimejimilikisha visima vya mafuta huku wengine wana hali mbaya kiuchumi, na ndio hawa unawakuta wana jeuri ya pesa ana magari 100, majumba kibao, n.k. hajali kuwa kuna waarabu wengi wana hali duni, hizo ni hekaya, nchi zenye pesa chafu ni arabuni huko, israel inapokea msaada wa dola bilioni 3 kila mwaka kutoka US, na juzi hapa wameomba wasaidiwe dola bilioni 14 kupambana na Hamas.
Vita ni gharama mzee, wangekuwa wameshikilia mifumo ya pesa wasingeomba msaada.
Accuracy yake hata mimi imenishangaza ni very deadly.Iron Dome haifanyi interception hivi. Hii itakuwa simulation ya wargame.
Na roketi za Hamas haziji kwenye mstari hata zikiwa launched kwenye pack moja, zinasambaa kidogo nyingine zinadondoka Gaza ukouko. Hazina accuracy.
Kuhusu matumizi mi sifahamu , lakini ukitembea Qatar, UAE au Saudia na ukaenda Israel utaona tofauti kubwa ya kimiundombinu, utaona hao arabs walivyoendelea kuliko Israel.Waarabu ni wabinafsi wanatumia fedha za nchi kujinufaisha wachache na ndio hawa unawakuta wana jeuri ya pesa ana magari 100, majumba kibao, n.k.
Wayahudi wapo matajiri wengi lakini wana nidhamu ya pesa na wanaishi simple, tajiri unamkuta ana gari mbili tu, fedha zingine anasaidia wengine, na hawezi kukataa msaada hata apewe laki 1.
Ndio maana nimesema ni maboresho, mabiresho huwa yanafanywa kwa mtindo mpya sio kama ulivyozoea kuona zamani.Iron Dome haifanyi interception hivi. Hii itakuwa simulation ya wargame.
Na roketi za Hamas haziji kwenye mstari hata zikiwa launched kwenye pack moja, zinasambaa kidogo nyingine zinadondoka Gaza ukouko. Hazina accuracy.
Daah KOBAZ kazi kwao
Kunywa Mbeke masaweKawaida sana ndg