Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Akili mtu wanguhii dunia kuna mambo yanashangaza kweli.
Hivi binadamu unamuundia bomu kama hilo ili afe. Aisee
Wanatengeneza tatizo anatafuta na suluhisho. Hiyo ni biashara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili mtu wanguhii dunia kuna mambo yanashangaza kweli.
Hivi binadamu unamuundia bomu kama hilo ili afe. Aisee
Wanatengeneza tatizo anatafuta na suluhisho. Hiyo ni biashara
Hiyo ni CGI mzee hakuna cha maboresho wala interception. Hiyo ni GCI zinacheza games kama Warthunder na games kibao za Epic.Ndio maana nimesema ni maboresho, mabiresho huwa yanafanywa kwa mtindo mpya sio kama ulivyozoea kuona zamani.
Nao Hamas hawabweteki wanafanya maboresho roketi zao ziende kwa mstari nyingine zigzag
umechukua sehemu chache za waarabu, ni sawa na kusema Tanzania ni matajiri kwa kuchukua sample ya mitaa ya masaki, upanga na oyster bay.Kuhusu matumizi mi sifahamu , lakini ukitembea Qatar, UAE au Saudia na ukaenda Israel utaona tofauti kubwa ya kimiundombinu, utaona hao arabs walivyoendelea kuliko Israel.
Lakini ukae ukijua tu kuna nchi tajiri na nchi yenye uchumi, Qatar inaizidi utajiri US, lakini US wanaizidi uchumi Qatar.
Sasa kwanini waneomba kuongezewa misaada ya kifedha kutoka uingereza na marekani?Waisrael ndio wanashikilia mifumo ya fedha, suala la pesa sio tatizo kwao ila hawasemi hadharani, missle moja ya iron dome kuwa dola elf 50 kwao ni kama kununua mawe ya manati.
Mambo ya fedha hayawaumizi vichwa.
Dah aisee ni balaa sana duuh.umechukua sehemu chache za waarabu, kiujumla hizo sehemu ni kwa wqarabu wale wachache matajiri, ni sawa na kusema Dar ni matajiri kwa kuchukua sehem za masaki, upanga na oyster bay.
Waarabu tatizo lao ni wabinafsi ndio maana kuna waarabu kibao maskini, tunaowasifia wana pesa ni hawa wachache na tunawajua kupitia matumizi yao ya kianasa, murabu unamkuta ana gari 200, ana saa ya mkononi ya bilioni 10, ana simu ya almasi ya bilioni 5, n.k. na hii inachochewa zaidi kwa wao kukosa elimu
.
hii dunia kuna mambo yanashangaza kweli.
Hivi binadamu unamuundia bomu kama hilo ili afe. Aisee
Wanatengeneza tatizo anatafuta na suluhisho. Hiyo ni biashara
Hata uingereza ikiingia vitani inaweza kuomba Tanzania msaada wa chakula, si kwamba Uingereza haina chakula bali ni kuonyesha ushirikiano wa kuwapa support na kuwaonyesha tupo nao bega kwa bega hata kwa kidogo tulicho nacho.Sasa kwanini waneomba kuongezewa misaada ya kifedha kutoka uingereza na marekani?
Sipo hapa kutetea waarabu wala Israel, vyovyote vile ni sawa, lakini hekaya za kunambia Israel wamekamata mifumo ya fedha sio kweli.umechukua sehemu chache za waarabu, kiujumla hizo sehemu ni kwa wqarabu wale wachache matajiri, ni sawa na kusema Dar ni matajiri kwa kuchukua sehem za masaki, upanga na oyster bay.
Waarabu tatizo lao ni wabinafsi ndio maana kuna waarabu kibao maskini, tunaowasifia wana pesa ni hawa wachache na tunawajua kupitia matumizi yao ya kianasa, murabu unamkuta ana gari 200, ana saa ya mkononi ya bilioni 10, ana simu ya almasi ya bilioni 5, n.k. na hii inachochewa zaidi kwa wao kukosa elimu
.
Mzee endelea na kazi za kihubiriNi suala la kuishi na watu kiakili, hata ukiwa tajiri endelea kukubali misaada, kwenye misaada kuna kuboresha mahusiano,.
Hao waisrael wanaomba hio misaada ili kuendelea kuwa na bond na hayo mataifa makubwa.
Tunazungumzia uwezo wa kivita Aise hao Waarabu toka mwaka 1948 dozi tuu wanapewaKuhusu matumizi mi sifahamu , lakini ukitembea Qatar, UAE au Saudia na ukaenda Israel utaona tofauti kubwa ya kimiundombinu, utaona hao arabs walivyoendelea kuliko Israel.
Lakini ukae ukijua tu kuna nchi tajiri na nchi yenye uchumi, Qatar inaizidi utajiri US, lakini US wanaizidi uchumi Qatar.
Punguza mahaba kwani hupofusha! Bado unaamini hekaya za Kiyahudi kuwa wao ni taifa teule? Wewe na Tanzania yako je?Nisiongee sana
Sijakataa Israel iliwapiga, Israel walitumia mbinu na akili wakashinda hususani six days war.Tunazungumzia uwezo wa kivita Aise hao Waarabu toka mwaka 1948 dozi tuu wanapewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndo yule eti mimi mkristo lakini siwapendi Israel.Unawapenda sana Waisrael eeenh?
Israel isipeleke askari wa ardhi pale Gaza, watachinjwa vibaya mno na wengi watachukuliwa mateka.Punguza mahaba kwani hupofusha! Bado unaamini hekaya za Kiyahudi kuwa wao ni taifa teule? Wewe na Tanzania yako je?
Uhalisia ni huu: Huwezi kushinda vita kwa kutumia anga, anga halichukui ardhi, askari wa miguu ndiyo kazi yao!
Umejiuliza kwa nini anachukua muda mrefu kuingia ardhini? Anaingia kwa kustukiza, sababu vita ya ardhini ni ngumu hasa kwa mgeni au mvamizi.
Israel’s allies fear it could be walking into a trap in Gaza as Hamas and its backers seek a wider conflict
As they watch airstrikes and hot-barreled howitzers pound targets in Gaza, check and recheck their personal weapons, communications and webbing, there can be very few among the thousands of Israeli soldiers poised for combat who don’t quietly wonder: “Is this a trap?”
Hamas, and its backers in Tehran, would have certainly planned to meet a fierce Israeli ground offensive after the terrorizing infiltration of Israel.
Hamas has riddled the Strip with networks of tunnels. It will have laced the landscape above ground with booby traps, and will have plans to meet the IDF with anything from swarms of suicide bombers to snatch teams to take soldiers hostage.
US generals and other officials have been sharing their experiences of urban warfare on a large scale with Israel.
The bomb-making skills of Hezbollah, the Lebanese militant group and close ally of Hamas, have metastasized across the Middle East. In Gaza, Israeli troops will know they face improvised explosive devices built with charges that can cripple a tank. They’ll know that Hezbollah’s abilities to destroy armor will have been further refined since Israel last did serious battle in Lebanon in 2006 and was shocked by the sophistication of the militia.
Hamas now has anti-aircraft capabilities – Israel’s Apache helicopters providing close support to infantry will be vulnerable to one man with a SAM (surface to air missile).
Analysis by Sam Kiley, Senior International Correspondent, CNN 26/10/2023
Tarehe 07/10 mlifurahi na kusheherekea Allah akbar Allah akbar kwa vifijo na nderemo.Punguza mahaba kwani hupofusha! Bado unaamini hekaya za Kiyahudi kuwa wao ni taifa teule? Wewe na Tanzania yako je?
Uhalisia ni huu: Huwezi kushinda vita kwa kutumia anga, anga halichukui ardhi, askari wa miguu ndiyo kazi yao!
Umejiuliza kwa nini anachukua muda mrefu kuingia ardhini? Anaingia kwa kustukiza, sababu vita ya ardhini ni ngumu hasa kwa mgeni au mvamizi.
Israel’s allies fear it could be walking into a trap in Gaza as Hamas and its backers seek a wider conflict
As they watch airstrikes and hot-barreled howitzers pound targets in Gaza, check and recheck their personal weapons, communications and webbing, there can be very few among the thousands of Israeli soldiers poised for combat who don’t quietly wonder: “Is this a trap?”
Hamas, and its backers in Tehran, would have certainly planned to meet a fierce Israeli ground offensive after the terrorizing infiltration of Israel.
Hamas has riddled the Strip with networks of tunnels. It will have laced the landscape above ground with booby traps, and will have plans to meet the IDF with anything from swarms of suicide bombers to snatch teams to take soldiers hostage.
US generals and other officials have been sharing their experiences of urban warfare on a large scale with Israel.
The bomb-making skills of Hezbollah, the Lebanese militant group and close ally of Hamas, have metastasized across the Middle East. In Gaza, Israeli troops will know they face improvised explosive devices built with charges that can cripple a tank. They’ll know that Hezbollah’s abilities to destroy armor will have been further refined since Israel last did serious battle in Lebanon in 2006 and was shocked by the sophistication of the militia.
Hamas now has anti-aircraft capabilities – Israel’s Apache helicopters providing close support to infantry will be vulnerable to one man with a SAM (surface to air missile).
Analysis by Sam Kiley, Senior International Correspondent, CNN 26/10/2023
Israel isipeleke askari wa ardhi pale Gaza, watachinjwa vibaya mno na wengi watachukuliwa mateka.
Wasome albadiri basHamas hawana ADS...
Israel kwenye covert operation, signal inelligence n.k wapo vizuri lakini via ya ardhi watapigwa sana.Israel vita ya chini hawezi, na bila mmarekani, uingereza, ufaransa n.k si chochote.
Nyie ndio wale mnafurahia mauwaji ya waislamuDaah KOBAZ kazi kwao
dogo hizo ni danganya toto jana missiles zimenyesha Tela Aviv ingekuwa hao Israel wanaruhusu wachukue kama vile Gaza ungeamini Israel hana lolote.