100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Vita wameitaka wenyewe kuchukua ardhi ya watu kwa nguvu.Jiulize hao Saudia wangekuwa kwny vita kama ya Israel leo si wangekuwa sw Libyia ? Israel miaka yote yupo kwenye mtanange ila bado anajenga nchi yake , na kazungukwa na maadui , Israel wapewe maua yao , siku wakiachiwa miaka 30 bila chokochoko zozote utaona atakavyowaacha hao Saudia kimiundo mbinu , taifa la juzi 1948 kipind hiko Saudia wapo hatua kadhaa ila leo hii Israel wapo juu kiuchumi
Huwezi shindana na mtu anamiliki mafuta au gas, Russia kuzuia gas hapo Ulaya ilikuwa shida, mafuta ni pesa,hao wazee pesa inamiminika kutoka ardhini.