Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
Kumbe ndo maana mnatusumbua humuAchana na shirikisho ila club bingwa yanga group stage alifika nikiwa na umri wa miaka minne yani 1998
Under dog kolo kamfunga al ahly na berkaneTunachokijua sisi Yanga ni Underdog kwa al ahliy .Hayo mengine tumewaachia wenyewe mpange kadri mnavyoweza.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Mi naona ametoa mifano isiyo sawa! Mwaka huo, Enyimba kwa mujibu wa ushahidi ulioletwa hapa, ilifanya vizuri, ikiwa na pointi 12 kwenye kundi lao. Lakini leo hii, hao Enyimba, huko kwao ilimaliza ligi ikiwa ya 7. Hivyo, haimo kabisa kwenye hayo mashindano ya CAF. Hao Berkane, nao wamekosa nafasi, tena nao Nchi yao ina nafasi nne.Ni nachoona hapo wote mmeburuza mkia kiufupi kipindi hicho wote mlikua vilaza sema kwa nyakati hizi al-hilal amekataa ukilaza ila nyie utopolo mmeng'ang'ana na ukilaza thay why tunasema utopolo kwa hao wa sudan nyie ni underdog tu na mnaenda kutolewa mchana kweupe
Usichukulie kolo kumfunga al ahly na berkane kuwa sababu ya topolo kumfunga al hilaly. Sisi tunachojua Yanga ni Underdog kwa al ahaly . Hayo mengine ni nyimbo tu za mapambioUnder dog kolo kamfunga al ahly na berkane
Kumbuka na wewe under nyau kwa utopoloUsichukulie kolo kumfunga al ahly na berkane kuwa sababu ya topolo kumfunga al hilaly. Sisi tunachojua Yanga ni Underdog kwa al ahaly . Hayo mengine ni nyimbo tu za mapambio
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Na kwa taarifa yako group stage kipindi Ni lazima zibaki timu name tu, yaani 2 groups each with 4 team. Kwa lugha nyepesi Ni quarter final stage.Achana na shirikisho ila club bingwa yanga group stage alifika nikiwa na umri wa miaka minne yani 1998
Sawa ila ni 1998 bado yani miaka 24 iliyopita (miongo miwili)[emoji1][emoji1][emoji1]Na kwa taarifa yako group stage kipindi Ni lazima zibaki timu name tu, yaani 2 groups each with 4 team. Kwa lugha nyepesi Ni quarter final stage.
Last born wa JF..ila umesema ukwelAchana na shirikisho ila club bingwa yanga group stage alifika nikiwa na umri wa miaka minne yani 1998