Jiongezee Kipato : Natafuta Mfanyakazi wa Kuziendesha Account zangu za Social Networks

Jiongezee Kipato : Natafuta Mfanyakazi wa Kuziendesha Account zangu za Social Networks

Safi maelezo mazuri watakuja vijana,ningependekeza uyo anaefungua ofis ndo awe na ujuzi wa social network, unauza bidhaa gani
 
mkuuu kazi yeyote ni kuridhia kwanza,unapoona tangazo la kazi flani unalisoma kisha unajipima Je naliweza? napata maslahi? ukiona hailipi Unaliacha tu mkuu.

Hamna kazi rahisi na ingekua nyepesi nadhani nina vitendea kazi vyote lakini yamenishinda na uwezo wangu wakulipa ni hiyo 30k ambayo ni 1k kwa siku.
ndio mkuu ni ngumu sana..
 
Ajira yenye utata ni ile ambayo mwajiri anamwambia mwajiriwa "kipato chako kitakuwa kinaongezeka kadri mauzo yakiwa yanaongezeka" hiyo ni sentensi ya kitapeli kabisa,sababu mwajiriwa hana kea kwenda kulalamika kipato kisiooongezeka,mwajiri ameishajiwekea immune ya kuweza kushtakiwa sababu anauwezo wa kusema mauzo hayakuongezeka.
 
mkuu SEASON 5 unajua ugumu wa online business?!....post 50 kwa siku?!..
na bado mtu aandike kwa lugha ya kuwateka wateja halafu payment umpe 30k per mwezi?!...
yaani 1k kwa siku?!..

Hahaaaaa, haki imebidi nicheke sana, hayupo serious na biashara huyu!

Kwa kazi.aliyoweka at least ilitakiwa 500K kiwango cha chini kabisa
 
Japo napenda kazi za online ila i’m not that cheap bruh! Spending time to post 50 products online and what you finally get is 30K a months? Atleast 500K ni commission nzuri kwa scale ndogo ya biashara! Makampuni ya kati yanalipa around 2M or More kwa Social Media Marketing na posts kwa mwezi hazifiki hata 50!

Kuhusu hio ya kufungua ofisi asubuhi whats the nature of the office? Ni biashara aina gani mzee? Nature yake kuna namna ya kupata genji au ndio unatoka mswaki from morning to evening?
 
This is fnckin cheap labour.

Ni unyanyasaji kulipa hicho kiasi.
Hahahaha jamaa ameyumba sana! Kwa hali ya maisha ya sasa hata saidia fundi kwenye banda la kiepe analipwa zaidi ya buku 5 we umkalishe mtu siku nzima kwenye PC umpe buku! I can make more than that kwa kuwa winga tu Kariakoo!😂😂😂
 
Sasa changamkia basi andika msg kwenye PM yake kabla watu hawajakuwahi. Watu kama mimi naweza kuamua kufanya bila hata malipo kwani nina likizo ndefu na connection ya Internet ni 7/24, PC ya kisasa kabisa na speed ya Internet ni 1gbps. Nikiamua nafanya tu ili ku-pass time na kugundua mambo mapya! 🤣 🤣
We mtoto wachuo eeehh,,
Umu unaeza tukanana na wajukuu zako humu..
 
Back
Top Bottom